Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: April 2025

  • Home
  • 2025
  • April
  • Page 23
Habari

MNGEZA B BINGWA WA ERASTO CUP MUHEZA,HALMASHAURI KUWAUNGA MKONO MADIWANI WATAKAOANZISHA LIGI KWENYE MAENEO YAO

April 28, 2025 Admin

Na Oscar Assenga,MUHEZA. HALMASHAURI ya wilaya ya Muheza Mkoani Tanga imesema kwamba itaendelea kuwaunga mkono madiwani ambao watakaoanzisha Ligi mbalimbali katika maeneo yao kwa lengo

Read More
Habari

Wizara ya Nishati yataja vipaumbele vyake 2025-2026

April 28, 2025 Admin

Na Janeth Raphael MichuziTv -Bungeni -Dodoma WIZARA ya Nishati imetaja vipaumbele vyake kwa Mwaka wa fedha 2025/26 ikiwemo kuhakikisha upatikanaji wa umeme wa uhakika kwa

Read More
Habari

Zimamoto waiokoa familia iliyovamiwa na nyuki nyumbani

April 28, 2025 Admin

Morogoro. Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Morogoro, limemuokoa Abina Kiasi na familia yake baada ya nyuki kuvamia nyumba yao iliyopo Mtaa wa Bomba

Read More
Habari

Makardinali kupanga tarehe kumchagua Papa mpya leo

April 28, 2025 Admin

Vatican City. Baada ya mazishi ya Baba Mtakatifu, Papa Francis yaliyofanyika Jumamosi Aprili 26, 2025, shughuli ndani ya Vatican zimeendelea na sasa mchakato wa kumchagua Papa

Read More
Michezo

Mlandizi Queens kama KenGold tu

April 28, 2025 Admin

HATIMAYE Mlandizi Queens imeshuka daraja rasmi baada ya kucheza mechi 15 bila ushindi ikitoka sare moja sawa na Ken Gold iliyoshuka Ligi Kuu baada ya

Read More
Habari

Waliodai kubadilishiwa mtoto, waendelea kususia mwili

April 28, 2025 Admin

Arusha. Zikiwa zimepita siku 26 tangu matokeo ya uchunguzi wa vinasaba (DNA) yatolewe, yakionesha Neema Kilugala (26), mkazi wa Mtaa wa Ndarvoi, hakubadilishiwa mtoto kama

Read More
Habari

Umeme kutoka Grid ya Taifa wafikia MW 4,031.71 Aprili 2025

April 28, 2025 Admin

Na Janeth Raphael MichuziTv – Bubgeni -Dodoma KATIKA kipindi cha mwaka mmoja, uwezo wa mitambo ya kufua umeme iliyounganishwa katika mfumo wa Gridi ya Taifa

Read More
Michezo

Katwila aipa tahadhari Mtibwa Sugar

April 28, 2025 Admin

KOCHA wa Mbeya Kwanza, Maka Mwalwisi amesema kwa sasa timu hiyo ni ngumu kumaliza nafasi nne za juu kwa michezo miwili iliyobakia, baada ya kikosi

Read More
Michezo

Kocha Al Nassr ampa u-MVP Clara Luvanga

April 28, 2025 Admin

KOCHA Mkuu wa Al Nassr ya wanawake, Aziz Alalwni amemtaja nyota wa kimataifa wa Tanzania, Clara Luvanga ndio mchezaji anayestahili tuzo ya mchezaji bora wa

Read More
Michezo

KMC yairudisha Simba mjini Tabora

April 28, 2025 Admin

KMC iliyopo nafasi ya 11 katika msimamo wa Ligi Kuu Bara imetangaza kupeleka mechi yao ya marudiano dhidi ya Simba mjini Tabora, huku mabosi wa

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 22 23 24 … 230 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.