MNGEZA B BINGWA WA ERASTO CUP MUHEZA,HALMASHAURI KUWAUNGA MKONO MADIWANI WATAKAOANZISHA LIGI KWENYE MAENEO YAO

Na Oscar Assenga,MUHEZA. HALMASHAURI ya wilaya ya Muheza Mkoani Tanga imesema kwamba itaendelea kuwaunga mkono madiwani ambao watakaoanzisha Ligi mbalimbali katika maeneo yao kwa lengo la kuhamasisha michezo na kufungua fursa za ajira kupitia sekta hiyo.Hayo yalisemwa mwishoni mwa wiki na Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Muheza Issa Msumari wakati Fainali ya Ligi ya Erasto…

Read More

Wizara ya Nishati yataja vipaumbele vyake 2025-2026

Na Janeth Raphael MichuziTv -Bungeni -Dodoma WIZARA ya Nishati imetaja vipaumbele vyake kwa Mwaka wa fedha 2025/26 ikiwemo kuhakikisha upatikanaji wa umeme wa uhakika kwa maendeleo ya kiuchumi na kijamii. Hayo yameelezwa leo April 28,2025 Bungeni jijini Dodoma na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati,Dkt Doto Biteko wakati akiwasilisha bajeti ya Wizara hiyo kwa…

Read More

Zimamoto waiokoa familia iliyovamiwa na nyuki nyumbani

Morogoro. Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Morogoro, limemuokoa Abina Kiasi na familia yake baada ya nyuki kuvamia nyumba yao iliyopo Mtaa wa Bomba la Zambia, Kata ya Kingolwira, Manispaa ya Morogoro. Mbali na kuwaokoa, jeshi hilo pia limefanikiwa kuwaondoa nyuki hao waliokuwa wamejenga makazi kwenye mabanda ya njiwa na mti uliokuwa karibu na…

Read More

Makardinali kupanga tarehe kumchagua Papa mpya leo

Vatican City. Baada ya mazishi ya Baba Mtakatifu, Papa Francis yaliyofanyika Jumamosi Aprili 26, 2025, shughuli ndani ya Vatican zimeendelea na sasa mchakato wa kumchagua Papa mpya umeanza. Leo Jumatatu Aprili 28, 2025 makardinali wanatarajiwa kukutana kupanga tarehe ya kuanza kwa mkutano wa kumchagua Papa mpya atakayekuwa kiongozi wa waumini zaidi ya bilioni 1.4 wa Kanisa…

Read More

Mlandizi Queens kama KenGold tu

HATIMAYE Mlandizi Queens imeshuka daraja rasmi baada ya kucheza mechi 15 bila ushindi ikitoka sare moja sawa na Ken Gold iliyoshuka Ligi Kuu baada ya kupokea kichapo cha mabao 2-1 dhidi ya Coastal Union wikiendi iliyopita. Timu hiyo imeshuka rasmi na inarejea Ligi daraja la kwanza ilipotoka msimu uliopita kutokana na mwenendo mbaya wa Ligi…

Read More

Waliodai kubadilishiwa mtoto, waendelea kususia mwili

Arusha. Zikiwa zimepita siku 26 tangu matokeo ya uchunguzi wa vinasaba (DNA) yatolewe, yakionesha Neema Kilugala (26), mkazi wa Mtaa wa Ndarvoi, hakubadilishiwa mtoto kama alivyodai, familia yake imeendelea kususia mwili ikisema wameamua kumwachia Mungu suala hilo. Familia hiyo ilianza kususia mwili wa mtoto huyo tangu Aprili 3, 2025, siku ambayo majibu ya DNA yalitoka….

Read More

KMC yairudisha Simba mjini Tabora

KMC iliyopo nafasi ya 11 katika msimamo wa Ligi Kuu Bara imetangaza kupeleka mechi yao ya marudiano dhidi ya Simba mjini Tabora, huku mabosi wa klabu huyo kupitia Ofisa Mtendaji Mkuu wa klabu hiyo, Daniel Mwakasungula wametoa ufafanuzi wa sababu ya kufanya hivyo.

Read More