Na Oscar Assenga,MUHEZA. HALMASHAURI ya wilaya ya Muheza Mkoani Tanga imesema kwamba itaendelea kuwaunga mkono madiwani ambao watakaoanzisha Ligi mbalimbali katika maeneo yao kwa lengo
Month: April 2025

Na Janeth Raphael MichuziTv -Bungeni -Dodoma WIZARA ya Nishati imetaja vipaumbele vyake kwa Mwaka wa fedha 2025/26 ikiwemo kuhakikisha upatikanaji wa umeme wa uhakika kwa

Morogoro. Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Morogoro, limemuokoa Abina Kiasi na familia yake baada ya nyuki kuvamia nyumba yao iliyopo Mtaa wa Bomba

Vatican City. Baada ya mazishi ya Baba Mtakatifu, Papa Francis yaliyofanyika Jumamosi Aprili 26, 2025, shughuli ndani ya Vatican zimeendelea na sasa mchakato wa kumchagua Papa

HATIMAYE Mlandizi Queens imeshuka daraja rasmi baada ya kucheza mechi 15 bila ushindi ikitoka sare moja sawa na Ken Gold iliyoshuka Ligi Kuu baada ya

Arusha. Zikiwa zimepita siku 26 tangu matokeo ya uchunguzi wa vinasaba (DNA) yatolewe, yakionesha Neema Kilugala (26), mkazi wa Mtaa wa Ndarvoi, hakubadilishiwa mtoto kama

Na Janeth Raphael MichuziTv – Bubgeni -Dodoma KATIKA kipindi cha mwaka mmoja, uwezo wa mitambo ya kufua umeme iliyounganishwa katika mfumo wa Gridi ya Taifa

KOCHA wa Mbeya Kwanza, Maka Mwalwisi amesema kwa sasa timu hiyo ni ngumu kumaliza nafasi nne za juu kwa michezo miwili iliyobakia, baada ya kikosi

KOCHA Mkuu wa Al Nassr ya wanawake, Aziz Alalwni amemtaja nyota wa kimataifa wa Tanzania, Clara Luvanga ndio mchezaji anayestahili tuzo ya mchezaji bora wa

KMC iliyopo nafasi ya 11 katika msimamo wa Ligi Kuu Bara imetangaza kupeleka mechi yao ya marudiano dhidi ya Simba mjini Tabora, huku mabosi wa