Tanzania, Cameroon patachimbika Morocco | Mwanaspoti

TIMU ya taifa ya wanawake ya Futsal, leo Jumatatu itashuka Uwanja wa Sportif Prince Moulay Abdallah, huko Morocco kukipiga dhidi ya Cameroon katika mchezo wa nusu fainali ya mashindano ya mchezo huo kuwania Fainali za Mataifa ya Afrika kwa Wanawake. Tanzania ilitinga nusu fainali kwa kumaliza kinara wa Kundi C baada ya mechi mbili kuvuna…

Read More

Yanga, Azam zahamisha vita ya Bara Gombani

YANGA juzi usiku ilianza vyema michuano ya Kombe la Muungano kwa kuing’oa KVZ kwa mabao 2-0 na kuungana na Azam FC iliyofuzu mapema kwa kuiondosha KMKM na sasa wanaviziana kuhamishia vita ya Ligi Kuu Bara kwenye Uwanja wa Gombani, Pemba iwapo zitavuka mechi za nusu fainali. Mabao mawili ya kila kipindi yaliyowekwa kimiani na Stephane…

Read More

Simba Queens V JKT Queens kupigwa Mei 07

DABI ya wanawake kati ya Simba Queens na JKT Queens imesogezwa mbele kutoka April 29 hadi Mei 07 kupisha mashindano ya timu ya taifa ya Futsal. Maboresho hayo ya ratiba ya Ligi Kuu Wanawake yametolewa hivi karibuni na Shirikisho la Soka nchini (TFF) kufuatia mrundikano wa ratiba ya mashindano ya CAF. Mashindano hayo yaliyoandaliwa na…

Read More

Polisi watanda Kisutu, waandishi wa habari wazuiwa

Dar es Salaam. Ulinzi umeendelea kuimarishwa na Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam kuzunguka makutano yote yanayoingilia Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam ambako kuna kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu. Katika kesi hiyo inayosikilizwa leo, waandishi wa habari wamepigwa marufuku kusogea mahakamani hapo. Katika eneo hilo…

Read More

Lissu, Jamhuri kuchuana tena leo kesi yake kuendeshwa mtandaoni

Dar es Salaam. Kesi ya kuchapisha taarifa za uongo mitandaoni inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu leo Jumatatu, Aprili 28, 2025 itaendelea kuunguruma, ambapo mawakili wa pande zote wanatarajiwa kuchuana  vikali kwa hoja, kuhusu kuendeshwa kwa njia ya mtandao. Kesi hiyo inayosikilizwa na Hakimu Mkazi Mwandamizi, Godfrey Mhini, katika Mahakama…

Read More

ALC LUBRICANTS YA TANZANIA YASHIRIKI MBIO ZA MAGARI CHINA KWA USHIRIKIANO NA TERZO

  Katika hatua kubwa ya kihistoria, ALC Lubricants, kampuni ya Kitanzania maarufu kwa vilainishi vya injini kupitia brand yake ya Flying Horse, imeandika historia kwa kuwa kampuni ya kwanza kutoka Tanzania kushiriki katika mashindano ya magari nchini China. Tukio hili la kipekee limetokea kupitia ushirikiano madhubuti kati ya ALC Lubricants na TERZO, mojawapo ya majina…

Read More

Katibu Mkuu Uchukuzi atembelea Banda la TCAA

  Katibu Mkuu Uchukuzi atembelea Banda la TCAA Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania(TCAA) inashiriki katika Maonesho ya 73 ya Baraza la Kimataifa la Viwanja vya Ndege (ACI Africa) na imepata fursa ya kutembelewa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi Prof. Godius Kahyarara. Maonyesho hayo yanafanyika katika viwanja vya Mount Meru Hotel, yanayofanyika sambamba…

Read More