
Simba yatinga fainali CAFCC, sababu nzito yatajwa Afrika Kusini
Sare ya bila kufungana dhidi ya Stellenbosch ugenini kwenye Uwanja wa Moses Mabhida, Durban Afrika Kusini leo Aprili 27, 2025 imeivusha Simba kwenda hatua ya fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika ikibebwa na ushindi wa bao 1-0 ilioupata katika mechi ya kwanza nyumbani Jumapili iliyopita. Stellenbosch ambao katika mechi nyingi za mashindano hayo wamekuwa wakicheza…