Kaseja ana kibarua cha 2015-2016

KOCHA wa Kagera Sugar, Juma Kaseja kwa sasa presha inazidi kupanda kutokana na nafasi iliyopo timu hiyo inayopambana na kutoshuka daraja, ingawa ikiwa atainusuru kupitia mechi tatu zilizobakia inaweza kujirudia rekodi ya msimu wa 2015-2016. Kagera kwa sasa inashika nafasi ya 15 ikiwa na pointi 22, baada ya kucheza mechi 27, nyuma ya Tanzania Prisons…

Read More

TRA yapata mwarobaini wa msongamano magari Holili

Moshi. Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Kilimanjaro, inakusudia kuweka mashine maalumu ya ukaguzi wa mizigo katika magari mpaka wa Holili. Mpaka huo ambao huchangia asilimia 55 ya makusanyo ya TRA Mkoa wa Kilimanjaro, umekuwa na msongano wa magari ya mizigo yanayoingia nchini yakitokea nchi jirani ya Kenya. Jana, Jumamosi Aprili 27, 2025 Mwananchi…

Read More

Sichone aumaliza msimu mapema | Mwanaspoti

MSHAMBULIAJI wa Trident FC inayoshiriki Ligi Daraja la Kwanza nchini Zambia, Mourice Sichone amesema kwa asilimia kubwa malengo aliyojiwekea msimu huu yametimia. Kinda huyo (17) ukiwa msimu wake wa kwanza kukitumikia kikosi hicho amecheza mechi 18 akifunga mabao sita na kutoa asisti nane. Akizungumza na Mwanaspoti, Sichone alisema ingawa Ligi hiyo haijatamatika lakini anahesabu amemaliza…

Read More

Mabula anaitaka namba Taifa Stars

KIUNGO wa Kitanzania, Alphonce Mabula ni miongoni mwa nyota wanaofanya vizuri kwenye kikosi cha Shamakhi FC na mwenendo huo inaonyesha ni wazi anaitaka nafasi kwenye kikosi cha timu ya taifa ‘Taifa Stars’. Mara ya mwisho kuwa katika kikosi timu ya taifa ilikuwa Februari 22, 2021 kwenye mashindano ya kufuzu kwa fainali za Mataifa ya Afrika…

Read More

Kada CCM aliyemwagiwa tindikali abisha hodi kwa DPP

Dar es Salaam. Kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Kilimanjaro, Idrisa Moses amemwandikia barua Mkurugenzi wa Mashitaka (DPP), akimuomba aitishe jalada la uchunguzi ili kulipitia na kushauri kadri atakavyoona inafaa. Hata hivyo, barua yake hiyo ya Machi 28, 2025 iliyotumwa kwenda Ofisi ya DPP Dodoma na nakala kutumwa kwa barua pepe, haijamfikia DPP. DPP Sylvester…

Read More