Siri Trump, Zelensky kukaa viti vya mbele Vatican

Sababu halisi iliyomfanya Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky, kupata nafasi ya kukaa mstari wa mbele katika mazishi ya Papa Francis imefichuliwa, ikikanushwa uvumi kuwa waandaaji walitaka kumchokoza Donald Trump. Taratibu za kidiplomasia zilivunjwa ili kumhamisha Rais huyo wa Ukraine kutoka sehemu yake ya awali, ambayo ilipaswa kuwa nyuma zaidi, hadi kwenye kiti maarufu nafasi 11…

Read More

‘MZIKI’ WA RAIS SAMIA BADO UNAENDELEA UMWAGILIAJI

…………… Mradi wa Membe Kunusuru SGR Dodoma: Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC), Raymond Mndolwa amesema kuwa kasi  ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan bado inandelea katika miradi ya umwagiliaji na kwamba kila mkoa utafikiwa.  Mndolwa amesema miradi yote inaendelea vyema na itakamilika kwa wakati lengo likiwa kuwawezesha wakulima nchini kulima kilimo…

Read More

Waonywa kula vyakula vya mafuta kuepuka maradhi

Unguja. Ili kukabiliana na maradhi yasiyoambukiza kisiwani Zanzibar, wananchi wamehimizwa kupunguza matumizi ya vyakula vyenye mafuta mengi, sukari na chumvi kupita kiasi. Badala yake, wametakiwa kuzingatia ulaji unaofaa kwa kula vyakula vya wanga, matunda, mboga mboga ili kupunguza hatari ya maradhi hayo. Hayo yamesemwa leo Jumapili Aprili 27, 2025, na Meneja wa Magonjwa yasiyoambukiza Zanzibar…

Read More

Manispaa yawandoa wafanyabiashara eneo la Mtopepo

Unguja. Baraza la Manispaa ya Magharibi A limewaondoa wafanyabiashara wadogo wadogo kando ya barabara eneo la Mtopepo, Mkoa wa Mjini Magharibi na kuwataka kuhamia katika Soko la Makufuli. Hatua hiyo imechukuliwa baada ya wafanyabiashara hao kukaidi agizo la awali la manispaa, licha ya juhudi zilizofanyika kuwaelimisha na kuwashauri kuhusu umuhimu wa kufanya biashara maeneo rasmi…

Read More

Wafanyabiashara Michakaini walia kukosa wateja, waiangukia Serikali

Pemba. Wafanyabiashara wa Soko la Michakaini, Chakechake, Mkoa wa Kusini Pemba, wameiomba Serikali kuwasaidia kutafuta njia mbadala itakayowezesha kuongeza idadi ya wateja ili kukuza mitaji yao. Wakizungumza leo Jumapili, Aprili 27, 2025, mbele ya Mkuu wa Wilaya ya Chakechake, Mgeni Khatib Yahya alipotembelea sokoni hapo, wafanyabiashara hao wamelalamikia mzunguko mdogo wa fedha kutokana na uchache…

Read More

Waziri Silaa asema mapambano ya VVU na Ukimwi yanapaswa kuendelezwa

Dar es Salaam. Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Jerry Silaa amesema jitihada za wadau mbalimbali zinapaswa kuendelezwa ili kupambana na kupunguza unyanyapaa unaohusiana na VVU, kuboresha upatikanaji wa matibabu na kusaidia jamii zilizo katika mazingira magumu. Mbali na Waziri Silaa, Tume ya Taifa ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania (Tacaids) imeeleza ushirikiano kati ya Serikali,…

Read More

Wasikie wanaume wanavyotoa hoja ovyo za kuchepuka

Ukitaka kucheka uliza sababu za kwanini wanaume tuna ‘cheat’. Tunazijadili sana tukiwa kwenye vijiwe vyetu vya kupiga stori. Mfano, mwenzetu mmoja alisema yeye anachepuka kwa ajili ya kuongeza upendo kwa mke wake, kwani kila anapotoka kufanya usaliti kwa ndoa yake huwa anajisikia mwenye dhambi sana na hujikuta anajilazimisha kuwa na upendo zaidi ya kawaida kwa…

Read More

Mwandae mtoto kiuchumi kwa kumnyima chakula

Katika safari ya kumlea mtoto mwenye uwezo wa kujitegemea kiuchumi, maadili ya matumizi na nidhamu ya kifedha ni mambo ya msingi yanayopaswa kujengwa mapema. Ingawa mara nyingi tunahusisha elimu ya kifedha na masuala ya akiba au matumizi ya pesa moja kwa moja, kwa hakika tabia ya kujinyima katika chakula inaweza kuwa njia mojawapo muhimu ya…

Read More