Faida za majadiliano ya kihisia kwa wenza

Katika uhusiano wa kimapenzi, hasa kati ya wanandoa au wenza wa muda mrefu, mawasiliano ni msingi muhimu wa uhusiano wenye afya. Moja ya aina muhimu zaidi ya mawasiliano ni majadiliano ya kihisia, yaani mazungumzo yanayohusu hisia za ndani, hofu, matarajio, furaha na maumivu. Majadiliano haya yanapopewa nafasi katika uhusiano, huimarisha uhusiano kwa kiwango kikubwa, huku…

Read More

ANTY BETTIE: Mke wangu ananipeleka puta faraghani, nifanyeje?

Anti habari. Awali nilipania niwe na mwanamke hodari tukiwa faragha ambaye atakata kiu yangu kisawasawa. Hivyo siku zote nilikuwa ninamtafuta wa aina hiyo, hatimaye nikampata na sikuchelewa kufunga naye ndoa, ila kinachonikuta usiombe kikukute. Mwanamke huyu mrembo wa sura, tabia na anayejua kumliwaza mwanaume ananipeleka puta tukiwa faragha kiasi kuna wakati ninajisingizia kuumwa. Wakati tunaanza…

Read More

JOWUTA , THRDC WALAANI WANAHABARI KUKAMATWA NA KUPIGWA

………………… Na Mwandishi Wetu CHAMA cha Wafanyakazi katika Vyombo vya Habari Tanzania (JOWUTA) na Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binaadamu nchini (THRDC) wamelaani kuanza kuibuka matukio ya waandishi wa habari na watangazaji kukamatwa na baadhi kupigwa na hata kuharibiwa vifaa vyao vya kazi na vyombo vya dola. Kauli ya kulaani imetolewa leo Aprili 25…

Read More

Kocha Coastal ahamishia nguvu Bara

KITENDO cha Coastal Union kutupwa nje ya mashindano ya Kombe la Muungano baada ya kuchapwa bao 1-0 dhidi ya Zimamoto katika hatua ya robo fainali, kaimu kocha mkuu wa kikosi hicho, Joseph Lazaro amesema nguvu zao wanazielekeza Ligi Kuu Bara. Coastal Union ilikuwa timu ya pili kutoka Bara kuondoshwa katika mashindano hayo, baada ya awali…

Read More

Simba v Stellenbosch hizi hapa dakika za mtego

NI wazi dakika 45 za kwanza zitatoa picha ya timu ipi inaweza kusonga fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika pale Stellenbosch itakapokuwa mwenyeji wa Simba, Jumapili hii. Timu hizo zinakutana katika mechi ya marudiano ya nusu fainali ya michuano hiyo itakayochezwa Uwanja wa Moses Mabhida uliopo Durban, Afrika Kusini kuanzia saa 10 jioni. Kocha wa…

Read More

Mechi nne za uamuzi mgumu Yanga

YANGA inasikilizia mechi nne zilizobaki za Ligi Kuu Bara kufanya uamuzi mgumu ndani ya benchi lake la ufundi. Uamuzi huo ni wa kufanya mabadiliko ya benchi linaloongozwa na Kocha Miloud Hamdi. Licha ya kuiongoza Yanga kwenye mechi tisa za Ligi Kuu Bara akishinda nane na sare moja, lakini kwa hali ilivyo Hamdi ni kama anahesabu…

Read More

Chama Lako limefundishwa na makocha wangapi?

KUNA timu tatu vinara zilizokimbizana kutimua makocha na kuajiri wengine ndani ya msimu huu wa Ligi Kuu Bara, lakini pia zipo tatu zilizokomaa zikionyesha zitamaliza na makocha wanne walewale zilioanza nao. Katika mabadiliko hayo wapo makocha waliolazimika kuondoshwa kufuatia matokeo mabaya ya vikosi vyao, lakini wengine wakiwa na sababu zao binafsi. Wakati Tabora United ikiongoza…

Read More