Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: April 2025

  • Home
  • 2025
  • April
  • Page 3
Habari

Sababu wafungwa, mahabusu kesi zao kusikilizwa kwa njia ya mtandao

April 30, 2025 Admin

Dodoma. Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa amesema Serikali itaendelea kutumia mfumo wa Mahakama Mtandao kuwawezesha wafungwa na mahabusu kusikiliza mashauri yao

Read More
Habari

TUME YA TEHAMA, SOFT- TECH ZASAINI USHIRIKIANO KUINUA SEKTA YA TEHAMA

April 30, 2025 Admin

*Dk. Mwasaga apongeza mchango wa sekta binafsi Na Mwandishi Wetu* TUME ya TEHAMA nchini (ICTC) imesaini makubaliano ya kuanzishwa rasmi kwa ushirikiano na kampuni ya

Read More
Habari

Vijana wanaopenda ‘mashangazi’ kuna ujumbe wenu hapa

April 30, 2025 Admin

‎Iringa. Vijana mkoani hapa wametakiwa kuachana na tabia ya kutegemea mahusiano ya kimapenzi kama njia ya kupata unafuu wa maisha kwa wanaume kuwapenda wanawake wenye

Read More
Habari

TEA YAIBUKA MSHINDI WA KWANZA MAONESHO YA MFUKO WA UTAMADUNI

April 30, 2025 Admin

Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) imeibuka mshindi wa kwanza katika kundi la taasisi za umma katika Maonyesho ya Kwanza ya Mfuko wa Utamaduni yaliyofanyika kuanzia

Read More
Habari

VITUO VYA GESI ASILIA NCHINI SASA NI TISA

April 30, 2025 Admin

          ::::::::  Hadi Aprili, 2025 jumla ya vituo 9 vya CNG vimekamilika na vinatoa huduma, ikilinganishwa na vituo viwili (2) mwaka

Read More
Habari

SMZ yapokea vifaa vya Sh1.9 bilioni vya kuhifadhia taka

April 30, 2025 Admin

Unguja. Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imepokea vifaa vya kuhifadhi na kusafirishia taka ngumu vyenye thamani ya Sh1.9billioni kupitia mradi wa Ukuzaji Uchumi Jumuishi

Read More
Habari

Rais Samia atoa neno ushirikishwaji sekta binafsi bandarini, mapato yakiongezeka

April 30, 2025 Admin

Unguja. Rais Samia Suluhu Hassan amesema ushirikishwaji wa sekta binafsi katika uendeshaji wa bandari na miundombinu mingine umechangia mafanikio makubwa nchini, ikiwemo ongezeko la mapato.

Read More
Habari

Dk Biteko atoa maagizo sekta ya mafuta na gesi akitaka ufanisi

April 30, 2025 Admin

Dodoma. Naibu Waziri Mkuu, Dk Doto Biteko ametoa maagizo matano kwa Shirika la Maendeleo la Petroli Tanzania (TPDC) kubwa akisisitiza masuala ambayo yataongeza ufanisi wa

Read More
Habari

Mfanyabiashara kortini akidaiwa kutakatisha Sh10 bilioni

April 30, 2025 Admin

Dar es Salaam. Mfanyabiashara Bushra Ali amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na mashitaka 13, yakiwemo kughushi nyaraka, kujipatia fedha kwa njia ya

Read More
Habari

JKI YATOA MAFUNZO KWA WANAWAKE ATHARI ZA MIKOPO YA ‘KAUSHA DAMU’

April 30, 2025 Admin

               :::::::: Taasisi isiyo ya kiserikali ya Jamii Kwanza Initiative(JKI) kwa Kushirikiana na Ofisiya Serikali ya Mtaa wa Amani

Read More

Posts pagination

Previous 1 2 3 4 … 230 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.