
Sababu wafungwa, mahabusu kesi zao kusikilizwa kwa njia ya mtandao
Dodoma. Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa amesema Serikali itaendelea kutumia mfumo wa Mahakama Mtandao kuwawezesha wafungwa na mahabusu kusikiliza mashauri yao wakiwa magerezani, hususan wakati wa viashiria vya matishio ya usalama, ili kulinda amani na mali za wananchi. Akizungumza leo Aprili 30, 2025 jijini Dodoma wakati wa ziara ya Kamati ya…