Unalea au unawafuga watoto? | Mwananchi

Kila siku saa 12 jioni, Mah’mood mwenye miaka 12 hutoka shule anakosoma moja kwa moja kwenda nyumbani. Mah’mood anawajua wazazi. Hawawezi kuthubutu kumruhusu kuchelewa nyumbani hata dakika tano. Jaribio lolote la kuchelewa litakaribisha matusi, ukali, na ikibidi kiboko bila maelezo yoyote. Mah’mood anatamani kuwa mchezaji hodari wa mpira. Ndoto hii imekatishwa baba yake alimwambia, “Hutakula…

Read More

Mike Msudani aliyemkimbia bi mkubwa wa Kizungu

Mike (si jina lake) ni kijana kutoka Sudani ya Kusini aliyekimbilia mapigano kwao na kuhamia Canada kama mkimbizi. Kama vijana wengine wengi wageni wasio na elimu wala uzoefu wa kutosha, Mike aliangukia kwenye mikono ya mama mzee wa Kizungu ambaye mwanawe alikuwa anakaribiana na  umri wake. Baada ya kuhamia Canada, bibi huyu tutakayemuita Molly (si…

Read More

ZUHURA: MICHEZO NI MWAROBAINI WA MAGONJWA YASIYO YA KUAMBUKIZA KWA WAFANYAKAZI

Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Bi. Zuhura Yunus amewasisitiza wafanyakazi wa sekta mbalimbali nchini kujenga tabia ya kushiriki michezo na mazoezi kwa ujumla ili kuimarisha afya zao na kuepuka magonjwa yasiyoyakuambukiza ambayo kwasasa ameeleza ni changamoto inayowakabili watu wengi ulimwenguni. Bi. Zuhura ametoa wito huo wakati akifunga…

Read More

Nondo za Aunt Leila kwa wanandoa, wenza

Dar es Salaam. Katika ulimwengu wa kisasa unaoendeshwa na teknolojia, mitandao ya kijamii na majukwaa ya kidijitali yamekuwa sehemu muhimu ya maisha ya kila siku. Sambamba na ukuaji huo, changamoto mbalimbali za kijamii zinazowakumba watu zinawafanya kuhitaji msaada na ushauri ili kukabiliana nayo. Hapa ndipo watoa nasaha kupitia mitandaoni wanapochukua nafasi muhimu kwa kutoa miongozo,…

Read More

Wakulima Mbinga Waomba Kukomeshwa kwa Biashara ya Magendo ya Kahawa

Mbinga-Ruvuma. Wakulima wa zao la kahawa wanaohudumiwa na Chama cha Msingi cha Ushirika KINJOLU AMCOS kilichopo kata ya Kikolo na Kihungu, Halmashauri ya Mji Mbinga mkoani Ruvuma, wameiomba Serikali kuchukua hatua madhubuti kukomesha vitendo vya wafanyabiashara wanaonunua kahawa kwa magendo au wakiwa bado mashambani. Mwenyekiti wa chama hicho, Bosco Turuka, amesema kuwa wafanyabiashara hao wamekuwa…

Read More