Mtibwa noma, yarejea Ligi Kuu baada ya siku 332
Sare ya bao 1-1, iliyoipata Mtibwa Sugar ugenini dhidi ya Bigman FC kwenye Uwanja wa Ilulu Lindi, imeifanya timu hiyo kurejea rasmi Ligi Kuu Bara kwa msimu ujao, huku ikiwa ya kwanza kukata tiketi hiyo, ikisaliwa na michezo miwili mkononi kuhitimisha msimu wa 2024-2025. Mtibwa iliyoshuka daraja msimu uliopita sambamba na Geita Gold, imepanda kufuatia…