Taoussi awapa angalizo mastaa Azam FC

BAO la Lusajo Mwaikenda dakika ya 63, limetosha kuipeleka Azam FC hatua ya nusu fainali ya michuano ya Kombe la Muungano inayoendelea visiwani Pemba, baada ya kuifunga KMKM 1-0, huku Kocha Mkuu, Rachid Taoussi akiwapa onyo mastaa wa kikosi hicho. Akizungumza baada ya ushindi huo, Taoussi alisema wachezaji wanatakiwa kucheza kwa nidhamu ya hali ya…

Read More

Mikakati yaandaliwa kumaliza malaria Zanzibar

Pemba. Wizara ya Afya Zanzibar imesema inaendelea kuandaa mikakati kuhakikisha ifikapo mwaka 2029 inatokomeza kabisa ugonjwa wa malaria. Miongoni mwa mikakati hiyo ni ugawaji wa vyandarua ambavyo 340,895 viligawiwa mwaka 2024 sawa na asilimia 99.86. Ofisa Mdhamini Wizara ya Afya (Pemba), Khamis Bilali Ali amesema hayo leo Aprili 26, 2025 katika madhimisho ya Siku ya…

Read More

Kipagwile ana deni la dakika 270

WINGA wa Dodoma Jiji, Idd Kipagwile baada ya kutikisa nyavu mara sita na kutoa asisti nne Ligi Kuu Bara msimu huu, akihusika na mabao 10 kati ya 30 yaliyofungwa na timu hiyo, amesema bado ana deni la mabao manne afikie lengo. Kipagwile amesema katika mechi tatu zilizobaki sawa na dakika 270 atapambana awezavyo kwani anatamani…

Read More

Simulizi kifo cha mwanachuo Ustawi wa Jamii

Dar es Salaam. Wakati mwili wa aliyekuwa mwanafunzi wa Chuo cha Ustawi wa Jamii, Elizabeth Maguha, ukitarajiwa kuzikwa leo, Aprili 26, 2025, wilayani Kahama, mkoani Shinyanga, familia na majirani wamesimulia mkasa wa kifo chake. Elizabeth (23), aliyekuwa akisoma shahada ya kwanza ya usimamizi wa rasilimali watu akiwa mwaka wa pili wa masomo, alifariki dunia Aprili…

Read More

SERIKALI YAONDOA ZUIO LA BIASHARA NA USAFIRISHAJI WA MAZAO YA KILIMO KATI YA TANZANIA NA NCHI ZA MALAWI NA AFRIKA KUSINI

SERIKALI kupitia Wizara ya Kilimo ilitangaza tarehe 23 Aprili 2025, kuzuia mazao kutoka nchi za Afrika Kusini na Malawi kuingia katika mipaka ya Tanzania hadi hapo hatua zitakapochukuliwa kwa nchi hizo kuruhusu mazao yetu kuingia katika masoko yao. Kufuatia zuio hilo, Serikali za Malawi na Afrika Kusini zimewasiliana na Wizara ya Mambo ya Nje na…

Read More