Mhagama aondoa hofu wananchi, asema Serikali ina dawa za kutosha
Dodoma. Waziri wa Afya, Jenista Mhagama, amewatoa wananchi wasiwasi kuhusu upatikanaji wa dawa za magonjwa mbalimbali nchini kutokana na kusitishwa kwa misaada ya dawa kutoka Marekani na kusema kuwa kuna dawa za kutosha, zikiwemo za malaria, Ukimwi, na magonjwa mengine. Mhagama ametoa kauli hiyo leo, Ijumaa, Aprili 25, 2025, alipozungumza na waandishi wa habari kuhusu…