WAFUNGWA NA MAHABUSU KUSIKILIZA KESI KWA MAHAKAMA MTANDAO

:::::::: Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa amesema kuwa Jeshi la Magereza kwa kushirikiana na Mahakama ya Tanzania litaendelea kuwawezesha Wafungwa na Mahabusu kusikiliza mashauri yao wakiwa magerezani kupitia Mahakama Mtandao, hasa kunapokuwepo na viashiria vya matishio ya kiusalama, ili kudumisha amani na kulinda usalama wa raia na mali zao. Ameeleza kuwa…

Read More

Chirwa bado haamini kilichomkuta Ligi Kuu msimu huu

MSHAMBULIAJI wa zamani wa Yanga, Obrey Chirwa bado haamini alichokutana nacho msimu huu wa Ligi Kuu Bara akisema ni mgumu kwake kutokana na kucheza timu mbili ngumu tofauti na zote kuwa katika nafasi zisizo nzuri, ikiwamo kushuka daraja akiwa na KenGold iliyomsajili wakati wa dirisha dogo. Chirwa aliyetua nchini msimu wa 2016/17 kuitumikia Yanga kutoka…

Read More

Mizengwe ya uchaguzi yaanza CCM, wajumbe walalama kuwekwa kando

Bunda. ‘Mizengwe imeanza’ ndio neno unaloweza kutumia kwa kile kinachoendelea katika Chama cha Mapinduzi (CCM) katika matawi mbalimbali ya Kata ya Nyamuswa, wilayani Bunda, mkoani Mara. Zaidi ya wajumbe 100 wa mabaraza ya mashina ya CCM kutoka matawi mbalimbali ya Kata ya Nyamuswa, wilayani Bunda, mkoani Mara, wameripoti kuondolewa kwenye nafasi zao. Wajumbe hao wanahusisha hatua…

Read More

Matokeo ya Azam yamliza Saadun

KIUNGO mshambuliaji wa Azam, Nassor Saadun amekiri licha ya ubora wake binafsi, lakini kama timu wameshindwa kufikia malengo waliyojiwekea msimu huu na kuondolewa mapema katika mbio za ubingwa wa Ligi Kuu na hata katika michuano mingine waliyoishiriki. Azam ilianza kung’olewa katika Ngao ya Jamii kwa kufungwa 4-1 na Yanga katika fainali, kisha ikaaga mapema Ligi…

Read More

Wajumbe AAFP wamfyeka mwenyekiti wao mbio za urais

Dar es Salaam. Mkutano Mkuu wa Chama cha Wakulima Tanzania (AAFP), umeibua sintofahamu baada ya wajumbe kumpigia kura za hapana mwenyekiti wa Taifa wa chama hicho, Said Soud Said, aliyekuwa akiwania kuteuliwa kugombe urais wa Zanzibar katika uchaguzi mkuu wa Oktoba. Mkutano huo ulikuwa na ajenda ya kuwateua wagombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano…

Read More

Nyoni aiota Top 5, Kabunda amtaja Mgunda

WAKATI nyota mkongwe wa Namungo, Erasto Nyoni akiweka bayana anavyotamani kuona timu hiyo ikipambana ili imalize katika Tano Bora ya Ligi Kuu Bara, mshambuliaji anayekipiga kwa Wauaji wa Kusini hao, Hassan Kabunda amemtaja kocha Juma Mgunda kama aliyewarejesha katika mstari. Namungo inashika nafasi ya tisa kwa sasa ikiwa na pointi 31 kwa kucheza mechi 27…

Read More

Mzee wa Hawaiian wa asili anasema juu ya mifumo ya usimamizi wa bahari asilia – maswala ya ulimwengu

Solomon Pili Kaaho’ohalahala anashiriki mitazamo na IPS. Mikopo: Joyce Chimbi/IPS na Joyce Chimbi (Busan, Korea) Jumatano, Aprili 30, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Busan, Korea, Aprili 30 (IPS) – Watu asilia huchukua jukumu muhimu katika ulinzi wa bahari kwa sababu ya uhusiano wao wa kina kwa mazingira ya baharini na ufahamu wao wa jadi…

Read More