Ludewa yasaini mkataba wa upangishaji wa vizimba vya samaki
Njombe. Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa imesaini mkataba na wawekezaji kwa ajili ya kupangisha vizimba vya ufugaji wa samaki katika Ziwa Nyasa, ikiwa ni sehemu ya kukuza uchumi na kupambana na udumavu wilayani humo. Hayo yamesemwa leo, Aprili 25, 2025 na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa, Wise Mgina, wakati wa kusaini mkataba huo…