Kardinali Pengo anavyomkumbuka Papa Francis
Mwanza. Wakati mwili wa Papa Francis (88) ukitarajiwa kuzikwa kesho Jumamosi, Aprili 26, 2025, Askofu Mkuu mstaafu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Polycarp Kardinali Pengo, ameeleza namna anavyomkumbuka. Papa Francis, aliyezaliwa Desemba 17, 1936 nchini Argentina, alifariki dunia Aprili 21, 2025 akiwa katika makazi yake kwenye nyumba ya Mtakatifu Marta, Vatican. Machi…