Waliofukuzwa Junguni kwa tuhuma za kubeti, wageuza kibao 

Saa chache tangu uongozi wa timu ya Junguni United iliyopo Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) kutangaza kuwafukuza wachezaji saba kwa tuhuma za kujihusisha kubeti, wachezaji wameugeuzia kibao klabu hiyo wakitoa siku 14 kuombwa radhi na kulipwa fidia ya Sh300 milioni. Wachezaji hao wametoa msimamo huo kupitia taarifa ilitolewa na mawakili wanaowasimamia. Pia, taarifa hiyo imesema wateja…

Read More

DKT. MWINYI: BARABARA YA KIBADA

Katika kuelekea maadhimisho ya miaka 61 ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ally Mwinyi, ameweka jiwe la msingi kwa ajili ya ujenzi wa barabara ya Kibada – Mwasonga – Kimbiji yenye urefu wa kilometa 41, hatua muhimu inayolenga kukuza uchumi na kuimarisha miundombinu ya…

Read More

RC SENYAMULE AHIMIZA WAFANYABIASHARA KUSHIRIKI KONGAMANO LA USHIRIKA

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Rosemary Senyamule,,amewataka wafanya biashara kujitokeza kushiriki kongamano la kitaifa la wanaushirika,litakalolenga kujadili fursa mbalimbali za uwekezaji katika sekta ya kilimo na ushirika. Kongamano hilo limepangwa kufanyika Aprili 29 Mwaka huu katika ukumbi wa Jakaya Kikwete uliopo mkoani humo ,huku viongozi mbalimbali wakitarajia kushiriki katika kongamano…

Read More

Beki KMC ajiandaa kutua Al Hilal

BEKI wa KMC, Raheem Shomary akiwa katika harakati za kuipambania timu hiyo ishishuke daraja ikiwa imebakiza mechi nne mkononi huenda akawa sehemu ya kikosi kitakachoshiriki Ligi ya Mabingwa Afrika msimu ujao. Ipo hivi. Beki huyo ambaye aliibuka mchezaji bora msimu uliopita 2023/24 yupo katika hatua za mwisho kumalizana na Al Hilal ya Sudan. Chanzo cha…

Read More

WAZIRI MASAUNI AWASILI BAJETI YA MWAKA 2025/26

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni akiwasilisha hotuba ya mapitio ya Utekelezaji wa Mpango na Bajeti kwa mwaka 2024/25 na Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa mwaka 2025/26 bungeni jijini Dodoma leo tarehe 25 Aprili 2025. Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano…

Read More

Wawili mbaroni kwa wizi wa bajaji Njombe

Njombe. Jeshi la Polisi Mkoa wa Njombe linamshikilia Juma Kimata (24) na Wetrack Ephraim Ngangalawa (32), wakazi wa Halmashauri ya Mji wa Makambako kwa tuhuma za wizi wa bajaji, ambao wanatumia nguvu katika kutekeleza wizi huo. Hayo yamesemwa leo, Aprili 25, 2025, na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Njombe, Mahamoud Banga wakati akizungumza na waandishi…

Read More

NAIBU WAZIRI MKUU DKT. BITEKO AKEMEA MIGOGORO ARUSHA 

  ……………….. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewataka viongozi kote nchini kuweka maslahi ya wananchi mbele na kuacha migogoro inayotokana na ubinafsi wao. “Hawa Watanzania hawataki migogoro yetu sisi viongozi na wakati mwingine migogoro tuliyonayo ni migogoro ya maslahi binafsi. Tumeacha kuwahudumia wananchi tunashughulikiana, tunataka huyu akwame, huyu afanikiwe…

Read More

Mambo matano kutikisa mkutano wa ushirika

Dodoma. Mambo matano yatazua mjadala katika kongamano la kitaifa la wanaushirika Tanzania, ikiwemo jinsi ya kuondoa umaskini. Mengine yatakayojadiliwa ni fursa za uwekezaji katika sekta ya ushirika, kuchochea ukuaji wa uchumi, historia na changamoto za ushirika nchini. Mbali na hilo, Rais Samia Suluhu Hassan atazindua Benki ya Ushirika Tanzania (CBT) Aprili 28, 2025, jijini Dodoma….

Read More