Hizi hapa sababu Mtanzania kushindwa kumiliki nyumba

Dar es Salaam. Kukosekana kwa sera ya nyumba, mikakati na gharama kubwa za ujenzi ni miongoni mwa sababu zinazowafanya Watanzania wengi wakiwemo vijana kushindwa kumiliki nyumba bora na salama. Hayo yamebainishwa kwenye utafiti wa ‘Ukuaji wa Nyumba katika miji ya Afrika jinsi ya kujenga makazi kunavyoendesha ukuaji wa miji na uchumi’ uliofanywa nchini Tanzania na…

Read More

Kwa nini G20 lazima iwe katikati ya wanawake, watoto na vijana katika ajenda ya UHC – maswala ya ulimwengu

Rajat Khosla Maoni na Rajat Khosla (Geneva) Ijumaa, Aprili 25, 2025 Huduma ya waandishi wa habari GENEVA, Aprili 25 (IPS) – Kama kikundi cha wafanyikazi wa afya cha G20 kilivyokusanyika katika KwaZulu -Natal chini ya urais wa Afrika Kusini mapema mwaka huu, swali kuu lilifanana na watu wengi: tunawezaje kuharakisha chanjo ya afya ya ulimwengu…

Read More

Kada CCM aliyemwagiwa tindikali afanyiwa upasuaji wa macho

Moshi. Kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM), mkoa wa Kilimanjaro, Idrisa Moses maarufu ‘Makishe’ aliyemwagiwa kimiminika kinachodaiwa ni tindikali, amefanyiwa upasuaji wa macho yote mawili na moja limeonyesha dalili ya kuona vizuri. Akizungumza kwa simu na Mwananchi leo Alahamisi Aprili 24, 2025 kutoka hospitali alikolazwa na kufanyiwa upasuaji huo, kada huyo amesema madaktari bingwa wa…

Read More

Saa 10 za hekaheka Kisutu Chadema na Polisi

Dar es Salaam. Ni zaidi ya saa 10 za hekaheka Kisutu, ndivyo unavyoweza kusimulia kilichotokea katika viunga vya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam. Mvutano baina wa viongozi na wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) dhidi ya Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam umesababisha taharuki maeneo mbalimbali, hususan katikati…

Read More

Wachezaji saba Zanzibar wafukuzwa kwa tuhuma za kubeti

Uongozi wa timu ya Junguni United iliyopo Ligi Kuu ya Zanzibar (ZPL) umewafukuza wachezaji saba wa timu hiyo kwa tuhuma za kujihusisha na michezo ya kubashiri matokeo ya mchezo (betting). Wachezaji hao walibeti katika michezo miwili waliocheza na Malindi pamoja na New City. Hayo yameelezwa katika taarifa iliyotolewa na Katibu wa Junguni, Suleiman Mwidani ambaye amesema,…

Read More

Hizi hapa teknolojia mpya za kukabiliana na malaria

Wabunifu wa teknolojia duniani wameendelea kuvumbua njia mpya za kuua mbu, matibabu na chanjo, ikiwa ni njia ya kutokomeza ugonjwa wa malaria, ambao ni tishio kwa kusababisha vifo vya maelfu ya watu duniani. Teknolojia mbalimbali, ikiwemo ya kubadilisha vinasaba (DNA) itambulikayo kwa jina la ‘Genetic biocontrol’ zina uwezo wa kuifanya malaria kuwa sehemu ya historia….

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: Kagera Sugar kilichobaki ni miujiza tu

ILIKUWA suala la wazi wazee wa makarasha, KenGold wasingebakia Ligi Kuu Bara kwa vile walionyesha dalili nyingi za kurudi Championship. Hawakuwa timu iliyoweka dhamira ya dhati ya kubaki licha ya kufanya usajili wa wachezaji wengi dirisha dogo la usajili lililoanza Disemba 16 mwaka jana na kumalizika Januari 15, mwaka huu. Ingekuwa siriazi, ingepambana kuhakikisha wachezaji…

Read More

Dhibiti hivi kisukari unapougua malaria

Wagonjwa wa kisukari wanakumbana na changamoto mbalimbali katika kudhibiti afya zao, na hali huwa ngumu zaidi pale wanapougua magonjwa mengine kama vile malaria. Malaria ni ugonjwa unaoambatana na homa kali, kutetemeka, maumivu ya mwili na kichefuchefu, dalili ambazo pia zinaweza kufanana na zile za kupanda kwa sukari. Kwa hali hiyo, ni muhimu sana kuelewa jinsi…

Read More

Yanga yaweka rekodi nyingine | Mwanaspoti

KIKOSI cha Yanga kinatarajiwa kuondoka jijini Dar es Salaam leo Ijumaa kwenda visiwani Zanzibar kwa ajili ya ushiriki wa michuano ya Kombe la Muungano 2025 iliyoanza jana, huku ikiwa imeandika rekodi nyingine ya kibabe katika mechi 24 ilizocheza tangu ilipopoteza katika Ligi ya Mabingwa Afrika. Yanga imepangwa kuvaana na KVZ kesho Jumamosi katika mchezo wa…

Read More