Vifukuza mbu hivi ni salama?

Leo ni siku ya kimataifa ya Malaria Duniani, chini ya mwavuli wa Shirika la Afya Duniani (WHO). Siku hii huadhimishwa Aprili 25 ya kila mwaka. Kaulimbiu ya mwaka huu 2025 inasema “Tuimalize Malaria; Wazia tena, Wekeza tena, Anzisha tena”. Takwimu za WHO zinaonyesha kuwa kila baada ya dakika moja, kifo kimoja hutokea duniani kwasababu ya…

Read More

Siku 15 ngumu kwa Simba SC

SIMBA tayari ipo Sauzi ikiendelea kujifua kujiandaa na mchezo wa marudiano wa nusu fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya wenyeji, Stellenbosch, huku kocha wa kikosi hicho, Fadlu Davids akikabiliwa na mtihani mgumu zaidi mbele yake. Mchezo huo utakaochezwa Jumapili hii nchini Afrika Kusini, Simba itaingia uwanjani ikiwa na faida ya ushindi wa bao…

Read More

Wanasayansi wataja mbinu kutokomeza malaria Tanzania

Wakati leo dunia ikiadhimisha Siku ya Malaria, imeelezwa kuwa takribani asilimia 86.2 ya watu nchini (sawa na watu milioni 58) wako kwenye hatari ya kupata malaria, huku watoto walio chini ya umri wa miaka mitano na wanawake wajawazito wakiwa kwenye hatari kubwa zaidi. Kwa wastani, kiwango cha maambukizi ya malaria nchini Tanzania ni asilimia 8.1,…

Read More

Wachezaji saba wafukuzwa katika timu kwa tuhuma za kubeti

Uongozi wa timu ya Junguni United iliyopo Ligi Kuu ya Zanzibar (ZPL) umewafukuza wachezaji saba wa timu hiyo kwa tuhuma za kujihusisha na michezo ya kubashiri matokeo ya mchezo (betting). Wachezaji hao walibeti katika michezo miwili waliocheza na Malindi pamoja na New City. Hayo yameelezwa katika taarifa iliyotolewa na Katibu wa Junguni, Suleiman Mwidani ambaye amesema,…

Read More

WAZIRI BITEKO ATOA SIKU MBILI KWA RC-ARUSHA,DC NA DED LONGODO KUHAKIKISHA MAABARA YA SAMIA SEKONDARI INAFANYAKAZI,AHUTUBIA AKINYESHEWA MVUA AKATAA MWAMVULI AMLAMBISHA LAKO TANO FASTA MPISHI

 Na Joseph Ngilisho-LONGIDO NAIBU waziri Mkuu na waziri wa Nishati Dotto Biteko amemwagiza Mkuu wa Mkoa wa Arusha , Mkuu wa wilaya ya Longido na Mkurugenzi wa halmashauri ya Longido kuhakikisha maabara ya kemia na baiolojia  katika shule ya sekondari ya sayansi ya wasichana ya Longido Samia inafanyakazi haraka iwezekanavyo.   Dkt Biteko ametoa agizo…

Read More

Hekaheka Kisutu… | Mwananchi

Dar es Salaam. Ni zaidi ya saa 10 za hekaheka Kisutu, ndivyo unavyoweza kusimulia kilichotokea katika viunga vya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam. Mvutano baina wa viongozi na wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) dhidi ya Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam umesababisha taharuki maeneo mbalimbali, hususan katikati…

Read More