Dar es Salaam. Pigo limeikumba tasnia ya lugha ya Kiswahili kufuatia kifo cha mwanazuoni, Profesa Martha Qorro, kilichotokea leo Jumatano, Aprili 30, 2025. Profesa Martha
Month: April 2025

Dar/Mikoani. Katika kuadhimisha siku ya wafanyakazi duniani (Mei Mosi), 2025, wafanyakazi wamepaza sauti wakihitaji mishahara bora, ulinzi wa kisheria na ufuatiliaji wa haki kazini, kupambana

Dar es Salaam. Wakati ajira mpya 522 za Mahakama zikitarajiwa kutolewa katika mwaka wa fedha 2025/26, kada sita zimetajwa kuwa ndizo zenye upungufu mkubwa katika

Singida. Mahakama ya Rufani imemuachia huru mchunga mifugo, Jumanne Yohana aliyekuwa amehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela kwa kumlawiti mtoto wa kiume wa waajiri wake

WAJUMBE wa mkutano mkuu wa Afrika wa mchezo wa kriketi wameonyesha kuridhishwa na namna ya ukuzaji wake, baada ya viongozi kutoka nchi 25 kukutana Dar

Dar es Salaam. Mwanazuoni mkongwe, Profesa Issa Shivji, amesema miongoni mwa sababu zinazokwamisha maendeleo ya haraka katika mataifa ya Afrika ni kuminywa kwa uhuru wa

WAKIWA na ari ya ushindi, Watanzania Madina Iddi na Vicky Elias wamesema wanaiona neema katika mashindano ya wazi ya gofu ya wanawake Kenya ambayo yananza

Mwanza. Katika hali ya kushangaza, Mwalimu wa Shule ya Sekondari Nyakabungo wilayani Ilemela Mkoa wa Mwanza, Edward Bihemo (43) amepoteza Sh12.47 milioni katika jaribio la

MTANZANIA Yassin Nasser ataondoka wa pili katika mashindano ya raundi ya pili ya ubingwa wa mbio za magari Afrika, kwa mujibu wa ratiba iliyotolewa na

Geita. Mahakama ya Hakimu Mkazi Geita, imemuhukumu Ramadhan Katoro kifungo cha miaka 30 jela baada ya kupatikana na hatia ya kumbaka mtoto mwenye umri wa