Shujaa wa Kiswahili, Profesa Martha Qorro, afariki dunia

Dar es Salaam. Pigo limeikumba tasnia ya lugha ya Kiswahili kufuatia kifo cha mwanazuoni, Profesa Martha Qorro, kilichotokea leo Jumatano, Aprili 30, 2025. Profesa Martha amewahi kuhudumu kama Mwenyekiti wa Baraza la Kiswahili Tanzania (Bakita), Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la HakiElimu na anatajwa miongoni mwa wanazuoni waliopigania Kiswahili kutumika kama lugha ya kufundishia. Uthibitisho…

Read More

Kilio cha wafanyakazi Mei Mosi, 2025

Dar/Mikoani. Katika kuadhimisha siku ya wafanyakazi duniani (Mei Mosi), 2025, wafanyakazi wamepaza sauti wakihitaji mishahara bora, ulinzi wa kisheria na ufuatiliaji wa haki kazini, kupambana na rushwa na kuwapo udhibiti katika sekta binafsi. Maadhimisho ya Mei Mosi kitaifa yatafanyika mkoani Singida yakiwa na kaulimbiu isemayo: ‘Uchaguzi Mkuu 2025: Utuletee viongozi wanaojali haki na masilahi ya…

Read More

Mahakama kuajiri watumishi wapya 522

Dar es Salaam. Wakati ajira mpya 522 za Mahakama zikitarajiwa kutolewa katika mwaka wa fedha 2025/26, kada sita zimetajwa kuwa ndizo zenye upungufu mkubwa katika mhimili huo. Kada hizo ni za ofisa Tehama, ofisa hesabu, msaidizi wa hesabu, walinzi, wasaidizi wa ofisi na mahakimu. Hayo yamebainishwa leo Aprili 30, 2025 Bungeni jijini Dodoma wakati wa…

Read More

Tanzania yachomoza kriketi Afrika | Mwanaspoti

WAJUMBE wa mkutano mkuu wa Afrika wa mchezo wa kriketi wameonyesha kuridhishwa na namna ya ukuzaji wake, baada ya viongozi kutoka nchi 25 kukutana Dar es Salaam. Mkutano huo wa mafunzo umekuja wiki chache baada ya Tanzania kushinda michuano ya Divisheni ya Kwanza Afrika kwa vijana wa chini ya miaka 19 ambayo fainali zake zilichezwa…

Read More

Profesa Shivji, wasomi wataja kinachokwaza maendeleo Afrika

Dar es Salaam. Mwanazuoni mkongwe, Profesa Issa Shivji, amesema miongoni mwa sababu zinazokwamisha maendeleo ya haraka katika mataifa ya Afrika ni kuminywa kwa uhuru wa mijadala ya wanataaluma. Amesema kuminywa kwa mijadala ya wanazuoni kunazikosesha nchi uelewa wa wapi zinakosea, fikra mbadala na suluhu ya matatizo yake, ndiyo maana zinakosea kwa kujirudia. Mkwamo wa mijadala…

Read More

Madina, Vicky waiona neema Kenya Ladies Open

WAKIWA na ari ya ushindi, Watanzania Madina Iddi na Vicky Elias wamesema wanaiona neema katika mashindano ya wazi ya gofu ya wanawake Kenya ambayo yananza kesho katika viwanja vya Sigona jijini Nairobi. Mashindano hayo ya siku tatu yatapigwa katika mashimo 54, kila siku yakichezwa mashimo 18, kwa mujibu wa ratiba iliyotolewa na Chama cha Gofu…

Read More

Nasser, Prince mguu sawa mbio za magari Uganda

MTANZANIA Yassin Nasser ataondoka wa pili katika mashindano ya raundi ya pili ya ubingwa wa mbio za magari Afrika, kwa mujibu wa ratiba  iliyotolewa na waandaaji zikiwa zimebaki siku nane kabla ya kuanza Mei 10. Ikija na bango la Shell V Power, raundi ya pili ya ubingwa wa mbio za magari Afrika inajulikana kama Pearl…

Read More

Jela miaka 30 kwa kumbaka mtoto wa miaka 17

Geita. Mahakama ya Hakimu Mkazi Geita, imemuhukumu Ramadhan Katoro kifungo cha miaka 30 jela baada ya kupatikana na hatia ya kumbaka mtoto mwenye umri wa miaka 17. Mshtakiwa alitenda kosa hilo kinyume na Kifungu cha 131(1) cha Kanuni ya Adhabu, Sura ya 16, kama ilivyofanyiwa marejeo mwaka 2022. Hukumu hiyo ilitolewa Aprili 29, 2025 na…

Read More