OFISI ZENU ZISIWE CHANZO CHA MIGOGORO YA KIFAMILIA.

Na Issa Mwadangala. Polisi Kata ya Mwakakati Wilaya ya Momba Mkoani Songwe Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Robart Philipho amewataka wajasiliamali wanaofanya shughuli za ususi na mapambo kuacha tabia ya kuwa chanzo cha migogoro ya kifamilia. Mkaguzi Robert alitoa kauli hiyo Aprili 24, 2025 wakati akitoa elimu ya madhara ya migogoro katika jamii na familia ambapo…

Read More

DCEA YAKAMATA KG.4,568 YA DAWA ZA KULEVYA

  Kamishna Jenerali wa Mamlaka Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) Aretas Lyimo akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam Mkurugenzi Msaidizi Malalamiko kutoka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU ) Thobias Ndaro akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam. …………………. Mamlaka ya Kudhibiti na…

Read More

Wasira, Ndugai watupa ‘kijembe’ upinzani

Dodoma.  Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira amesema mtindo ulioibuka kwa baadhi ya wanasiasa wa vyama vya upinzani wanaopiga kelele majukwaani bila kujenga hoja, wanataka shari huku akisisitiza demokrasi si vurugu bali ni majadiliano, hoja na maelewano. Hoja hiyo ameizungumzia Wilaya Kongwa mkoani Dodoma anakoendelea na ziara yake ya kukagua utekelezaji…

Read More

NHC YAWASOGEZEA WAZANZIBAR FURSA ZA KUMILIKI NYUMBA!

Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) limekuwa miongoni mwa taasisi zilizoshiriki maonesho ya sekta ya ujenzi yaliyofanyika katika viwanja vya Mapinduzi Square Kisonge mjini Zanzibar.​ Afisa Mkuu wa Mauzo na Masoko wa NHC, Bw. Daniel Kure, amesema kuwa ushiriki wa NHC katika maonesho hayo ni kuwafahamisha wakaazi wa Zanzibar kuhusu miradi mbalimbali inayotekelezwa na NHC,…

Read More

Sillah: Bara inastahili namba nne Afrika

KIUNGO mshambuliaji wa Azam FC, Gibril Sillah amesema kwa namna Ligi ya Tanzania ilivyo ngumu na ushindani wa juu inastahili kutajwa kati ya zilizo bora barani Afrika ambapo kwa sasa ipo nafasi ya nne. Sillah alisema tangu aanze kucheza Ligi Kuu msimu uliopita, huu ndio msimu bora kwake kwa kiwango binafsi na ushindani wa mechi…

Read More

HakiElimu na ALI For Impact Waibuka na Mpango Kuibua Viongozi Chipukizi Mashuleni

Katika kuhakikisha taifa linapata viongozi bora wa kesho, taasisi zisizo za kiserikali za HakiElimu na The African Leadership Initiative For Impact (ALI For Impact) zimezindua programu maalum ya kuwawezesha vijana walioko mashuleni kupata maarifa na ujuzi wa uongozi. Mpango huu mpya unalenga kuwa chachu ya mabadiliko kwa kuwapa wanafunzi nafasi ya kutambulika, kuendelezwa na hatimaye…

Read More