Jeneza la Papa Francis kufunikwa kesho Ijumaa – Global Publishers
Ibada ya kufunga jeneza la Hayati Papa Francis inatarajiwa kufanyika kesho Ijumaa usiku Aprili 25, 2025, katika Basilika ya Mtakatifu Petro, Vatican. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jana Jumatano Aprili 23, 2025 na Mshereheshaji wa Nyumba ya Kipapa Jumatano, jeneza hilo litafungwa saa mbili kamili usiku kwa saa za Ulaya, sawa na…