Afya, elimu, fursa iliyo hatarini, huku kukiwa na mgawanyiko wa kijinsia wa dijiti – maswala ya ulimwengu

Kufunga pengo hili sio hiari. Kulikuwa na wanawake milioni189 wachache kuliko wanaume mkondoni mnamo 2024. Utofauti ni juu ya ufikiaji zaidi, unaonyesha vizuizi vya kimfumo zaidi, kulingana na Doreen Bogdan-Martin ambaye anaongoza Wakala wa Mawasiliano wa UN, ITU. “Hiyo ni fursa nyingi sana za kujifunza, kupata na kuunda maisha yetu ya baadaye ya dijiti“Alisema katika…

Read More

Dk Biteko aridhishwa utatuzi wa migogoro ya ardhi Monduli

Migogoro ya ardhi imekuwa kero kubwa katika maeneo mbalimbali nchini, huku Serikali ikiendelea kutekeleza mikakati kumaliza tatizo hilo. Naibu Waziri Mkuu, Dk Doto Biteko ameupongeza uongozi wa Wilaya ya Monduli kwa jitihada za kutatua migogoro ya ardhi ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Serikali la  kuwataka viongozi kutatua changamoto za wananchi katika maeneo yao.  Dk…

Read More

Dorothy Semu alivyozuiwa kuingia Kisutu

Kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo, Dorothy Semu amejikuta kwenye majibizano na askari wa Jeshi la Polisi akiwa nje ya jengo la Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam. Semu alikuwa mahakamani hapo leo Alhamisi, Aprili 24, 2025 ambapo kesi mbili ya uhaini na ile ya kuchapisha taarifa za uongo mtandaoni zinazomkabili Mwenyekiti…

Read More