AKILI ZA KIJIWENI: Mzee Mangungu anastahili pongezi Simba
MWINYI mmoja kutoka Kilwa sasa hivi anaweza kuwa miongoni mwa wanadamu wenye furaha sana pale ndani ya Simba kutokana na mwenendo mzuri wa timu hiyo. Huyu ni Murtaza Mangungu mwenyekiti wa klabu hiyo. Mkiona nimemuita Mwinyi msiniige maana yule ni mtani wangu. Wangindo na Wamwera ni watani sasa kama humtanii muite tu Mangungu. Mtani wangu…