Wasira asifu mabadiliko makubwa eneo la utawala
Dodoma. Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira amesema Serikali inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan, imeleta mageuzi makubwa katika eneo la utawala, huku akisisitiza kuwa mchakato wa mageuzi (‘reform’) ni endelevu na si wa muda mfupi. Akizungumza na wanachama wa CCM jana jioni, Aprili 23, 2025, akiwa katika Wilaya ya Chamwino…