Wasira asifu mabadiliko makubwa eneo la utawala

Dodoma. Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira amesema Serikali inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan, imeleta mageuzi makubwa katika eneo la utawala, huku akisisitiza kuwa mchakato wa mageuzi (‘reform’) ni endelevu na si wa muda mfupi. Akizungumza na wanachama wa CCM jana jioni, Aprili 23, 2025, akiwa katika Wilaya ya Chamwino…

Read More

Fadlu mkeka umetiki | Mwanaspoti

UNAWEZA kusema ni kama mkeka wa Fadlu Davids umetiki kwani ubora aliouonesha hadi sasa ndani ya Simba, umewafanya Wasauzi wenzake, Orlando Pirates kuanza hesabu za kumrudisha kikosini kwao. Fadlu ambaye alitambulishwa ndani ya Simba Julai 5, 2024 akitokea Raja Casablanca ya Morocco akiwa kocha msaidizi, alipewa mkataba wa miaka miwili kuliongoza benchi la ufundi la…

Read More

Meridian Bet Tanzania | Jinsi ya kujisajili | www.meridianbet.co.tz | Promo code: 1109

Meridian bet Tanzania nikampuni ya kubeti nchini tanzania  iliyosajiliwa kwa mujibu wa sheria. Katika kampuni hii unaweza kubeti au kucheza Casino Mtandaoni. Katika makala haya tutaeleza jinsi ya kujisajili Meridianbet, na Promo code ya meridian Bet ambayo ni [ 1109 ] Vile vile tutaeleza mengine kuhususiana na meridian Bet Tanzania  Jinsi ya Kujisajili Meridian Bet…

Read More

Maji taka, takataka na magonjwa mengi yaliyohamishwa jamii huko Gaza – maswala ya ulimwengu

Katika kambi za pwani za Al Mawasi, familia hazina chaguo ila kuishi katika hali zisizo za kawaida ambazo zinageuka haraka, Louise Wateridge, afisa mwandamizi wa dharura katika Wakala wa Wakimbizi wa Palestina, Unrwaaliambiwa Habari za UN. Alifafanua hali mbaya zaidi: watoto na familia zenye utapiamlo, tayari zimevaliwa na miezi ya vita, joto lisilo na joto,…

Read More

Ufanisi mdogo mashirika ya umma tatizo liko hapa

Moshi. Nini kinayakumba mashirika yetu ya umma? Ni swali linalogonga vichwa vya Watanzania, hasa wanaposikia hasara ya mabilioni ya shilingi, lakini Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), ametegua kitendawili hicho. Katika ripoti kuu ya mwaka ya Ukaguzi wa Mashirika ya Umma kwa mwaka wa Fedha 2023/2024 ya Machi 2025 iliyokabidhiwa bungeni mjini…

Read More

Shaba yawa adhimu, sekta ya madini ikipaa

Madini ya shaba yanazidi kuibuka kwa kasi kuwa fursa kubwa katika sekta ya madini Tanzania, huku kupanda kwa bei na mahitaji duniani kukiyaweka madini haya kama rasilimali ya kimkakati yenye uwezo wa kushindana na dhahabu katika kuchochea mabadiliko ya kiuchumi nchini. Pamoja na ukuaji wake mzuri katika soko la dunia, wataalamu wanasema Tanzania kihistoria imeweka…

Read More

AI inapunguza mzigo wa kazi – lakini hatari zinabaki, wakala wa kazi anaonya – maswala ya ulimwengu

Katika ripoti mpya inayoangazia athari za ulimwengu za mapinduzi ya kiteknolojia sasa, Shirika la Kazi la Kimataifa la UN (Ilo) alisisitiza kwamba ilitoa njia ya kutoka kwa kinachojulikana kama kazi za 3D ambazo ni “Chafu, hatari na kudhalilisha”. Afya na usalama Lakini ILO pia ilionya kuwa uangalizi mkubwa unahitajika kuzuia maswala ya usalama yasiyotarajiwa yanayosababishwa…

Read More