Gambo achutama, aomba radhi bungeni

Dodoma. Mbunge wa Arusha Mjini (CCM), Mrisho Gambo ameomba radhi Bunge na kufuta maneno aliyoyatoa dhidi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais- Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Mohamed Mchengerwa. Gambo alimtuhumu bungeni, Waziri Mchengerwa kwamba amesema uongo wakati akitoa maelezo ya Serikali dhidi ya tuhuma ambazo mbunge huyo aliziibua bungeni. Aprili…

Read More

Gambo akubali yaishe, aomba radhi na kufuta kauli

Dodoma. Wakati wa kuhitimisha mjadala wa leo, Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson amesema kuna ombi la Mbunge wa Arusha Mjini, Mrisho Gambo anataka kusema jambo. Amesema kwa kutumia kanuni namba 70 ya kanuni za Kudumu za Bunge Tolea la Februari 2023 anampa nafasi ya kusema ambayo inasema kutokusema uongo Bungeni. Mapema leo Jumatano Aprili…

Read More

MONDULI :BITEKO AAGIZA KUCHUKULIWA HATUA KALI WANAOSABABISHA MIGOGORO YA ARDHI

Na Joseph Ngilisho Arusha  NAIBU Waziri Mkuu wa Waziri wa Nishati, Dk, Dotto Biteko amesema viongozi mbalimbali watakaobainika kuuza ardhi au kuleta migogoro kwa wananchi watachukuliwa hatua pale itakapobainika. Aidha amesema serikali itafanya kila namna kuhakikisha wafugaji nchini wakiwemo wa wilaya ya Monduli wanaendelea kuimarika na kuheshimika na kuwa daraja la juu kwa sababu mifugo…

Read More

Mifumo ya ajira yakera wabunge

Dodoma. Wabunge wamechachamaa kuhusu utolewaji wa ajira unaofanywa serikalini wakisema umekuwa na ukiukwaji mkubwa wa kimfumo huku wakihoji kinachoendelea baada ya Mkuu wa Majeshi (CDF), Jenerali Jacob Mkunda kuonesha shaka kwa baadhi ya ajira. Wabunge hao wamehoji mfumo wa kutoa ajira unavyopeleka malalamiko mengi kwa wananchi wakitaka Serikali kurudi kwenye mstari wa udahili kwa kutumia…

Read More

Sekta ya madini kuvuka lengo, wadau wachambua

Dodoma/Dar es Salaam. Sekta ya madini nchini imevuka malengo yake baada ya kuchangia asilimia 10.1 ya Pato la Taifa (GDP) mwaka 2024 ikiwa ni mwaka mmoja kabla ya muda ulilengwa na Serikali kwenye Sera ya Madini ya mwaka 2009 na Mpango wa Maendeleo wa miaka mitano wa sasa. Akizungumza na waandishi wa habari leo Aprili…

Read More

VIONGOZI WA DINI WAMETUTIA NGUVU KUENDELEA NA UCHAGUZI MKUU

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimewashukuru na kuwapongeza viongozi wa dini kwa ushauri kuhakikisha Nchi inaendelea kuwa na amani hususan kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu na kubariki uchaguzi huo uendelee huku, ikisisitiza kuwa haidharau maoni yanayotolewa. CCM imesisitiza kuwa haipuuzi ushauri mbalimbali unaotolewa kuelekea uchaguzi huo, lakini imesisitiza hautaahirishwa kwa kuwa mageuzi na mabadiliko ni…

Read More