Migogoro ya ardhi yatawala kampeni ya Mama Samia Legal Aid ikizinduliwa Z’bar

Unguja. Wakati kampeni ya msaada wa kisheria inayojulikana kama Samia Legal Aid ikizindiliwa Mkoa wa Kaskazini Unguja, Mkuu wa Mkoa huo, Mattar Zahor amesema changamoto kubwa inayowakabili wananchi ni migogoro ya ardhi inayosababishwa na shughuli za utalii. Hivyo, amewataka wananchi hao wajitokeze kwa wingi kupatiwa ufumbuzi wa matatizo hayo, kwani suala la haki ni maisha…

Read More

MAADHIMISHO SIKU YA USALAMA NA AFYA MAHALI PA KAZI KUFANYIKA APRILI 28,MWAKA HUU SINGIDA

Sehemu ya waandishi wa habari wakimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu,Kazi, Vijana, Ajira na Wenye ulemavu Mhe.Ridhiwani Kikwete,(hayupo pichani) wakati akizungumza  leo Aprili 23,2025 jijini Dodoma kuelekea siku ya Maadhimisho ya Siku ya Usalama na Afya Mahali Pa Kazi Duniani yanatarajia kufanyika Mkoani Singida Aprili 28 mwaka huu.   Na.Alex Sonna-DODOMA MAADHIMISHO Siku…

Read More

Sekta binafsi nchini yaangazia mikopo nafuu ya kimataifa

Dar es Salaam. Sekta binafsi nchini inatarajia kunufaika kuvutia mitaji na mikopo ya gharama nafuu kutoka taasisi za fedha za kimataifa, kufuatia hatua ya rais wa Shirikisho la Sekta Binafsi kuanzisha mazungumzo ya kimkakati na benki kubwa za kimataifa. Rais wa Shirikisho la Sekta Binafsi Tanzania (TPSF), Angelina Ngalula, ambaye pia ni Mkurugenzi wa kampuni…

Read More

INEC yajadiliana kuligawa jimbo la Magu

Dar es Salaam. Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), imekutana na wadau wa uchaguzi wilayani Magu, mkoani Mwanza kwa lengo kujiridhisha kuhusu mapendekezo ya ugawaji wa jimbo hilo. Magu ni miongoni mwa majimbo mengi ambayo wadau wa uchaguzi wilayani humo, wamependekeza ligawanywe ili kurahisisha huduma za kijamii. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na INEC…

Read More

Ajira 41,500 kada mbalimbali mbioni kutangazwa

Dodoma. Katika Mwaka wa Fedha 2025/26 Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma imepanga kushughulikia vibali 41,500 vya ajira ili kujaza nafasi zilizoidhinishwa katika Ikama. Mbali na ajira hizo mpya, Serikali imepanga kuhakiki na kuidhinisha madai ya malimbikizo ya mishahara ya watumishi kwa taasisi 425 na kusafisha taarifa za kiutumishi na mishahara (Data Cleaning)…

Read More