IAA, Misitu zaanza vyema nane bora RCL
Timu za IAA SC ya Arusha na Misitu ya Tanga zimeanza vyema michuano ya Ligi ya Mabingwa Mikoa (RCL), hatua ya nane bora baada ya kupata ushindi katika mechi za ufunguzi. Michuano hiyo ambayo inachezwa na vijana walio chini ya umri wa miaka 20 inashirikisha timu nane ambazo zilishika nafasi mbili za juu katika vituo…