Robert Matano safari imewadia Fountain Gate?

INAELEZWA kwamba Kocha wa Fountain Gate, Robert Matano anaweza kutoendelea na timu hiyo kwa msimu ujao kutokana na kushindwa kuipa matokeo yaliyotarajiwa. Matano ambaye ameiongoza Fountain Gate kwenye mechi 11 za Ligi Kuu Bara, tangu Januari 10, mwaka huu alipochukua nafasi ya Mohammed Muya, amefanikiwa kushinda mbili za ugenini Ligi Kuu Bara ilipozichapa KMC 2-1…

Read More

Clara Luvanga namba zimempa heshima Saudia

KAMA kuna msimu bora kwa mshambuliaji wa Kitanzania, Clara Luvanga anayeitumikia Al Nassr ya Saudia basi ni huu. Mambo ambayo ameyafanya msimu huu hasa kuwatesa mabeki na makipa wa timu pinzani kwa mabao ya mbali yamempa sifa kubwa nyota huyo wa Kitanzania. Sio jambo la ajabu kumuona nyota huyo akionyesha kiwango bora kwani amekuwa akifanya…

Read More

BARRICK YASHINDA TUZO 10 ZA OSHA 2025

  Naibu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira na Watu wenye Ulemavu) Bi Zuhura Yunus akitoa moja ya tuzo kwa wafanyakazi wa kampuni ya Barrick kwenye hafla hiyoWafanyakazi wa Barrick wakifurahi baada ya kupokea tuzo kutoka kwa Kamishna wa Kazi ,Suzan Mkangwa Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira na Watu…

Read More

Rwanda yasindikiza majeshi ya SADC kuondoka DRC

Goma. Jeshi la Rwanda limeisindikiza misafara ya majeshi ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) yakitoka mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) kuelekea Tanzania, kufuatia uamuzi wa kumaliza operesheni ya kijeshi ya SAMIDRC. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jana Jumanne Aprili 29, 2025 na Msemaji wa Jeshi la Rwanda, Brigedia Jenerali Ronald…

Read More

WAKILI MWANAISHA MNDEME KUGOMBEA UBUNGE KIGAMBONI

                 ::::::: Wakili Mwanaisha Mndeme, Katibu wa Idara ya Mambo ya Nje na Waziri Kivuli wa Viwanda na Biashara kupitia chama cha ACT-Wazalendo, amekabidhiwa rasmi fomu ya kugombea ubunge wa Jimbo la Kigamboni. Akizungumza na waandishi wa habari, Mwanaisha amesema anagombea kwa dhamira ya kweli ya kuwatumikia wananchi…

Read More