INAELEZWA kwamba Kocha wa Fountain Gate, Robert Matano anaweza kutoendelea na timu hiyo kwa msimu ujao kutokana na kushindwa kuipa matokeo yaliyotarajiwa. Matano ambaye ameiongoza
Month: April 2025

KAMA kuna msimu bora kwa mshambuliaji wa Kitanzania, Clara Luvanga anayeitumikia Al Nassr ya Saudia basi ni huu. Mambo ambayo ameyafanya msimu huu hasa kuwatesa

Serikali imetoa wito kwa jamii na taasisi zilizopewa dhamana ya kufungisha ndoa pamoja na wazazi na walezi kuhakikisha wanaendelea kutoa elimu ya maadili kwa wanandoa.

Last updated Apr 30, 2025 Kampuni ya mawasiliano ya YAS imezindua rasmi mnara wa mawasiliano wa teknolojia ya 5G katika eneo la Kinyerezi –

Dodoma. Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limetangaza nafasi za kuandikishwa jeshini kwa vijana wa Kitanzania wenye elimu ya sekondari hadi elimu ya juu. Nafasi

Imelda Mtema, mtangazaji wa Global TV, ni miongoni mwa waandishi wa habari ambao wamedumu kwenye urafiki na mastaa wa tasnia mbalimbali kwa muda mrefu, kiasi
Naibu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira na Watu wenye Ulemavu) Bi Zuhura Yunus akitoa moja ya tuzo kwa wafanyakazi wa

Goma. Jeshi la Rwanda limeisindikiza misafara ya majeshi ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) yakitoka mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC)

Watumishi wa TPDC na GASCO katika picha ya pamoja wakati wa kupokea tuzo Kampuni ya GASCO, ambayo ni kampuni tanzu ya TPDC, imepokea tuzo nne

::::::: Wakili Mwanaisha Mndeme, Katibu wa Idara ya Mambo ya Nje na Waziri Kivuli wa Viwanda na