RABIA ATEMBELEA MAKUMBUSHO YA LENIN

Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC), Mambo ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa na Mjumbe wa Kamati Kuu, Ndg. Rabia Abdalla Hamid,  Aprili 22, 2025 ameungana na viongozi wa vyama vingine vya siasa kutoka nchi mbalimbali kuweka maua na kutembelea makumbusho ya Kiongozi na Mwanamapinduzi wa Russia na lililokuwa Shirikisho la Kisovieti, Vladimir…

Read More

DKT MPANGO ATAKA WADAU WA UTALII WA VYAKULA VYA ASILI KUWEKEZA KWA KUANDIKA VITABU VYA MACHAPISHO YA VYAKULA VYA KIAFRIKA ILI KUONDOA WOGA KWA WATALII.

Na Joseph Ngilisho-ARHSHA MAKAMU wa Rais  Dkt. Philip Mpango amewataka wadau wa utalii wa vyakula vya asili kuwekeza zaidi katika kuandika vitabu vya vyakula vya Kiafrika na machapisho ya kuandaa mapishi ili kuongeza ujuzi na kupunguza woga kwa watalii  kula vyakula vya kiafrika.   Dkt Mpango ametoa wito huo wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa…

Read More

MAJAJI WA MAHAKAMA YA RUFANI WAPEWA MAFUNZO

MAHAKAMA ya Tanzania imeendelea kuonesha dhamira yake ya dhati katika kuimarisha mifumo ya kisheria inayolenga kuboresha mustakabali wa ulinzi wa miliki bunifu (Intellectual Property), ili kuiwezesha nchi kushiriki kikamilifu na kwa ushindani katika uchumi wa dunia, hasa katika zama hizi za maendeleo ya kiteknolojia. Dhamira hiyo imesisitizwa na Jaji Augustine Mwarija wa Mahakama ya Rufani…

Read More

Viongozi wa eneo hilo huongeza joto juu ya hatua ya kupambana na mabadiliko ya hali ya hewa – maswala ya ulimwengu

Kutoka Moroko hadi Maharastra, California hadi Quebec, UN’s Viongozi wa eneo hilo Mfululizo unaangazia jinsi uongozi wenye nguvu unavyoathiri sana maisha ya watu katika nchi zinazoendelea na zilizoendelea. On Siku ya Kimataifa ya Mama Duniani Ambayo huadhimishwa kila mwaka mnamo Aprili 22, mfululizo huo unakusudia kuhamasisha hatua pana za hali ya hewa na kuonyesha umuhimu…

Read More

Mitaro ya maji taka kero katikati ya jiji Dar

Dar es Salaam. Achana na maeneo kama Buguruni, Manzese na mengineyo ambayo miaka ya nyuma yalikuwa yamezoeleka kwa uchafu wa mazingira na kusababisha harufu mbaya. Kwa sasa baadhi ya mitaa iliyopo katikati ya Jiji la Dar es Salaam nako kumeibuka kero ya harufu mbaya ya kinyesi inayosababishwa na kuziba kwa chemba za maji taka ambayo…

Read More

DC Sweda: Walimu epukeni mikopo inayowadhalilisha

Njombe. Walimu mkoani Njombe wametakiwa kuthamini taaluma yao na kujiepusha na tabia ya kuiweka rehani kwa sababu mbalimbali, ikiwamo kuchukua mikopo kandamizi, maarufu kausha damu. Hili limeibuka baada ya kubainika kuna baadhi ya walimu hutoa vyeti vyao vya taaluma kama dhamana ya mikopo kutoka kwa watu binafsi au taasisi zisizo rasmi. Wito huo umetolewa leo…

Read More