Wanaosoma nje ya Tanzania masharti haya yanawahusu

Dodoma. Serikali ya Tanzania imetoa maelekezo na masharti kwa watu wanaotaka kwenda kusoma nje ya nchi ikiwamo kuwa na barua  maalumu inayotolewa na Serikali ili kujua wanakwenda kusoma nini na katika chuo gani. Maagizo hayo yametolewa leo Jumatano Aprili 23, 2025 na Naibu Waziri Elimu, Sayansi na Teknolojia, Omary Kipanga wakati akijibu swali la Mbunge…

Read More

Katekista, wengine watatu wahofiwa kufa maji Ziwa Victoria

Musoma. Miili ya watu watatu wanaohofiwa kufariki dunia baada ya kuzama ndani ya Ziwa Victoria katika kisiwa cha Rukuba wilayani Musoma bado haijapatikana. Watu hao akiwamo Katekista wa Kanisa Katoliki Parokia Teule ya Rukuba Jimbo Katoliki la Musoma mkoani Mara, Cleophace Mganga (45) wanahofiwa kufariki dunia baada ya mtumbwi waliokuwa wakiutumia kuvua dagaa kupigwa na…

Read More