VIDEO: Heche adakwa na Polisi Kariakoo, apelekwa Central

Dar es Salaam. Mkutano wa hama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) umeshindwa kufanyika baada ya Makamu Mwenyekiti wa chama hicho, John Heche kukamatwa na Jeshi la Polisi muda mchache baada ya kupanda jukwaani kuanza kuhutubia umma. Mkutano huo ambao ni mwendelezo wa kutoa elimu kuhusu kampeni yao ya ‘No reforms, no election’ (Bila mabadiliko, hakuna…

Read More

DC aagiza waliohujumu miundombinu ya reli Moshi wasakwe

Moshi. Zaidi ya vifungio 95 vinavyoshikilia mataluma ya reli katika kipande cha miundombinu hiyo Moshi-Arusha, mkoani Kilimanjaro vimeibiwa na watu wasiojulikana. Hali hiyo inahatarisha usalama wa watumiaji wa usafiri wa treni. Tukio hilo lilitokea Aprili 21, mwaka huu ambapo inadaiwa watu hao waliong’oa vifungashio hivyo eneo la  Bondeni, Manispaa ya Moshi na kuondoka navyo. Kufuatia…

Read More

Mbunge ahoji kukamatwa kwa Lissu

Dodoma. Mbunge wa Viti Maalumu, Anatropia Theonest amehoji sababu za kuwekwa ndani kwa Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu wakati anataka mabadiliko. Anatropia ametoa kauli hiyo bungeni leo Jumanne Aprili 22, 2025 wakati akichangia kwenye Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais Tamisemi iliyowasilishwa Aprili 16, 2025. Katika mchango…

Read More

TULINDE, TUENZI UTAMADUNI KWA MANUFAA YA VIZAZI VYETU- MAJALIWA

……..,…… ▪️Asema tusikumbatie tamaduni zinazokwenda kinyume na maadili na ustaarabu ▪️Prof. Kabudi asema sarakasi ni mchezo unaongoza kuliingizia Taifa fedha za kigeni WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema Watanzania wana wajibu wa pamoja wa kuhakikisha urithi wa utamaduni wa Taifa unalindwa, unaenziwa na kuendelezwa kwa manufaa ya kizazi cha sasa na kijacho. Amesema hatuwezi kuwa na…

Read More

Mchengerwa: Tuhuma za Gambo ni cheche za kisiasa Arusha

Dar es Salaam. Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Mohamed Mchengerwa amesema hoja ya tuhuma za ubadilifu zilizoibuliwa na Mbunge wa Arusha Mjini, Mrisho Gambo ni cheche za kisiasa, kwani hakuna hata senti moja ya wananchi iliyopotea. Mchengerwa amezungumza hayo leo Jumanne Aprili 22, 2025 wakati akijibu hoja zilizochangiwa na wabunge…

Read More