Mapito ya Komu na tafsiri ya kisiasa
Dar es Salaam. Mwanasiasa mashuhuri nchini Tanzania na kada wa zamani wa Chama cha NCCR-Mageuzi, Anthony Komu, ametangaza kurejea rasmi katika chama chake cha awali, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Akizungumza baada ya kujiunga tena na chama hicho, Komu amesema anaamini mwelekeo wa sasa wa Chadema wa kurudi kwa wananchi ni sahihi na unaotia…