WABUNGE WAITAKA WIZARA YA FEDHA IIPE FEDHA WIZARA YA TAMISEMI ITEKELEZE MAJUKUMU YAKE

****** Na Mwandishi wetu, Dodoma WABUNGE mbalimbali wameipongeza Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) kwa ufanisi wao ambao wamekuwa wakiufanya katika kuhakikisha miundombinu, elimu, afya na mambo mengine yanafanyika kwa ustadi mkubwa. Akichangia bungeni bajeti ya TAMISEMI kwa mwaka wa fedha 2025/2026 Mbunge wa jimbo la Korogwe Vijijini Mhe Timotheo…

Read More

JUKWAA LA KIMATAIFA LA UTALII WA VYAKULA KUKUTANISHA WABOBEZI WA UTALII ZAIDI YA 300

………….. Arusha Jukwaa la Pili la Kimataifa la Utalii Wa Vyakula la Shirika la Utalii Duniani (UN Tourism) Kanda ya Afrika lililoanza leo Aprili 22, 2025 jijini Arusha linatarajia kukutanisha washiriki takribani 300 wakijumuisha viongozi waandamizi katika sekta ya utalii na ukarimu, watumishi wa serikali, pamoja na wataalamu wa masuala ya upishi kutoka ndani na…

Read More

Serikali DRC yakamata mali za Kabila, kundi la M23 latajwa

Kinshasa. Hali ya DR Congo haijatulia licha ya jitihada mbalimbali za kusaka amani nchini humo. Mataifa kadhaa ya Afrika ikiwemo Tanzania, yalijitosa kuhakikisha DR Congo inakuwa na amani kutokana na machafuko yanayoendelea. Majeshi ya Serikali na makundi ya waasi yakiongozwa na M23 yamekuwa yakikabiliana na mpaka sasa miji kadhaa iko chini ya himaya za waasi….

Read More

POLISI WAJENGEWA UWEZO NA GH FOUNDATION.

Taasisi ya GH Foundation imefanikiwa kufanya warsha ya kuwajengea uwezo askari polisi, Maafisa ustawi wa jamii, waandishi wa habari na viongozi wa dini katika Kupambana na Ukatili wa Kijinsia.   Gifted Heart Foundation inayoongozwa na Godlisten Malisa iliwajengea uwezo huo kupitia warsha iliyofanyika wiki iliyopita katika ukumbi wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni, jijini Dar es…

Read More

Barack, Michelle Obama wajibu mapigo madai ya kupeana talaka

Wakati kukiwa na wingu la madai kwamba, Rais mstaafu wa Marekani, Barack na Michelle Obama wako kwenye mchakato wa kupeana talaka, wawili hao wameibuka na kuonyesha mapenzi yao hadharani. Wawili hao wameonekena wakifurahia pamoja katika moja ya migahawa wanayoipenda ya Kiitaliano jijini Washington DC, Marekani. Barack na Michelle walionekana wakitabasamu, huku wakipita kwenye mgahawa maarufu…

Read More

MAKAMU WA RAIS DKT MPANGO KUFUNGUA JUKWAA LA KIMATAIFA LA UTALII WA VYAKUKA VYA ASILI,JIJINI ARUSHA.

Na Joseph Ngilisho ARUSHA MAKAMU wa Rais  Tanzania dkt Philipo Mpango anatarajiwa kufungua jukwaa la Pili la Kimataifa la Utalii Wa Vyakula la Shirika la Utalii Duniani (UN Tourism) Kanda ya Afrika linalotarajiwa kufanyika kesho April 23,2025 jijini Arusha Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana ameyasema hayo leo April 22, katika…

Read More