WANANCHI DODOMA WAIPA HEKO BAJETI YA TAMISEMI

Na Mwandishi Wetu, Dodoma Ikiwa leo ni siku ya mwisho ya kujadiliwa kwa bajeti ya Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) wananchi mkoani Dodoma wamejitokeza kutoa maoni yao kuhusu bajeti hiyo kwa mwaka wa fedha 2025/2026 yenye kiasi cha shilingi bilioni 11.7. Akizunguzmia bajaeti hiyo mkazi wa Dodoma Bi Maria…

Read More

Maji yaliyojaa kivuko cha SGR yaanza kuondolewa

Dar es Salaam. Maji yaliyokuwa yakituama katika kivuko kinachotumiwa na wananchi kwenye reli ya Umeme (SGR), maeneo ya Gongo la Mboto jijini humo yameanza kuondolewa. Hivi karibuni Mwananchi Digital iliripoti kuhusu changamoto ya kujaa maji katika eneo hilo na adha wanayoipata wananchi kupita kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha. Ili kuweza kuvuka eneo hilo, mwananchi hulazimika…

Read More

Papa Francis kuzikwa Jumamosi Vatican

Vatican. Mazishi ya Papa Francis yanatarajiwa kufanyika Jumamosi Aprili 26, 2025 katika Kanisa Kuu la Mtakatifu Petro mjini Vatican na kuongozwa na Kardinali, Giovanni Battista Re, ambaye ni Dekano wa Baraza la Makardinali. Kwa mujibu wa taarifa rasmi iliyotolewa Vatican leo Jumanne Aprili 22, 2025, mwili wa hayati Papa Francis utawekwa ndani ya Kanisa hilo…

Read More

Mambo ya ndani yaendeleza kicheko

TIMU ya kikapu ya Wizara ya Mambo ya Ndani imeinyoosha Maliasili kwa pointi 113-34 katika mashindano ya Mei Mosi yanayoendelea katika Uwanja wa Shule ya Msingi Mwaja mjini Singida. Katika mashindano hayo timu tisa zinashiriki zikiwa zimepangwa katika makundi mawili huku la A likiwa na Wizara ya Mambo ya Ndani, Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA),…

Read More