Vatican. Makardinali 133 kuanzia Mei 7, 2025 watashiriki mkutano maalumu kumchagua Papa mpya wa 267 kufuatia kifo cha Papa Francis kilichotokea Aprili 21 mwaka huu.
Month: April 2025

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Saidi Mtanda amsema kutokana na miradi mikubwa ya kimkati inayoendelea mkoani humo anatajia vyanzo vipya vya kodi vitazaliwa na kuifanya

Simiyu. Mahakama ya Wilaya ya Maswa, mkoani Simiyu, imemuhukumu Jumanne Clement (23), mkazi wa Ngudu Wilaya ya Kwimba mkoani Mwanza, kutumikia kifungo cha miaka 30

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Ridhiwani Kikwete, ameipongeza Benki ya CRDB kwa kuwa na mifumo bora ya

Vatican. Makardinali 133 kuanzia Mei 7, 2025 watashiriki mkutano maalumu kumchagua Papa mpya wa 267 kufuatia kifo cha Papa Francis kilichotokea Aprili 21 mwaka huu.

Geita. Mahakama Kuu, Masjala Ndogo ya Geita, imemuhukumu kifungo cha miaka 15 jela, Imani Salehe (23) baada ya kupatikana na hatia ya kumuua mtoto wake

Sana’a. Jeshi la Uingereza, kwa kushirikiana na Jeshi la Marekani, limefanya mashambulizi ya anga dhidi ya wapiganaji wa Houthi nchini Yemen. Kwa mujibu wa taarifa

Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana (Mb) amekutana na kufanya mazungumzo na Sekretarieti ya mkataba wa Lusaka (Lusaka Agreement) kuhusu Mkutano

Mwanamke mmoja aliyehamishwa aliiambia Habari za UN Mwandishi wa habari huko Gaza: “Katika kambi zote, tunakabiliwa na wadudu wanaouma, haswa fleas,” na kuongeza kuwa “watoto

Serikali inaendelea kuhakikisha kwamba barabara ambazo zipo katika kila halmashauri ya wilaya zinafunguliwa ili kurahisisha usafiri na usafirishaji katika maeneo ya wananchi. Hayo yamesemwa na