Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: April 2025

  • Home
  • 2025
  • April
  • Page 7
Habari

Makardinali 133 kumchagua Papa mpya

April 30, 2025 Admin

Vatican. Makardinali 133 kuanzia Mei 7, 2025 watashiriki mkutano maalumu kumchagua Papa mpya wa 267 kufuatia kifo cha Papa Francis kilichotokea Aprili 21 mwaka huu.

Read More
Habari

MWANZA MBIONI KUZALISHA VYANZO VIPYA VIKUBWA VYA KODI

April 30, 2025 Admin

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Saidi Mtanda amsema kutokana na miradi mikubwa ya kimkati inayoendelea mkoani humo anatajia vyanzo vipya vya kodi vitazaliwa na kuifanya

Read More
Habari

Jela miaka 30 kwa kubaka, kumtia mimba mwanafunzi

April 30, 2025 Admin

Simiyu. Mahakama ya Wilaya ya Maswa, mkoani Simiyu, imemuhukumu Jumanne Clement (23), mkazi wa Ngudu Wilaya ya Kwimba mkoani Mwanza, kutumikia kifungo cha miaka 30

Read More
Habari

BENKI YA CRDB YAPONGEZWA KWA USALAMA KAZINI

April 30, 2025 Admin

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Ridhiwani Kikwete, ameipongeza Benki ya CRDB kwa kuwa na mifumo bora ya

Read More
Habari

Wajue makardinali 133 watakaomchagua Papa mpya

April 30, 2025 Admin

Vatican. Makardinali 133 kuanzia Mei 7, 2025 watashiriki mkutano maalumu kumchagua Papa mpya wa 267 kufuatia kifo cha Papa Francis kilichotokea Aprili 21 mwaka huu.

Read More
Habari

Baba aliyemuua mwanawe kisa kuchelewa kutembea, jela miaka 15

April 30, 2025 Admin

Geita. Mahakama Kuu, Masjala Ndogo ya Geita, imemuhukumu kifungo cha miaka 15 jela, Imani Salehe (23) baada ya kupatikana na hatia ya kumuua mtoto wake

Read More
Habari

Uingereza nayo yaanza kuwashambulia Wahouthi, waungana na Marekani

April 30, 2025 Admin

Sana’a. Jeshi la Uingereza, kwa kushirikiana na Jeshi la Marekani, limefanya mashambulizi ya anga dhidi ya wapiganaji wa Houthi nchini Yemen. Kwa mujibu wa taarifa

Read More
Habari

WAZIRI CHANA AKUTANA NA SEKRETARIETI YA MKATABA WA LUSAKA

April 30, 2025 Admin

Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana (Mb) amekutana na kufanya mazungumzo na Sekretarieti ya mkataba wa Lusaka (Lusaka Agreement) kuhusu Mkutano

Read More
Kimataifa

Pigo la panya na wadudu hutoa changamoto ya hivi karibuni kwa Wagazani waliovuliwa vita-maswala ya ulimwengu

April 30, 2025 Admin

Mwanamke mmoja aliyehamishwa aliiambia Habari za UN Mwandishi wa habari huko Gaza: “Katika kambi zote, tunakabiliwa na wadudu wanaouma, haswa fleas,” na kuongeza kuwa “watoto

Read More
Habari

SERIKALI KUHAKIKISHA BARABARA ZOTE ZA HALMASHAURI ZINAFUNGULIWA

April 30, 2025 Admin

Serikali inaendelea kuhakikisha kwamba barabara ambazo zipo katika kila halmashauri ya wilaya zinafunguliwa ili kurahisisha usafiri na usafirishaji katika maeneo ya wananchi. Hayo yamesemwa na

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 6 7 8 … 230 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.