
Makardinali 133 kumchagua Papa mpya
Vatican. Makardinali 133 kuanzia Mei 7, 2025 watashiriki mkutano maalumu kumchagua Papa mpya wa 267 kufuatia kifo cha Papa Francis kilichotokea Aprili 21 mwaka huu. Kwa mujibu wa taarifa iliyoandikwa na Angella Rwezaula na kuchapishwa na mtandao wa Vatican News, makardinali hao wanatoka nchi 71 katika mabara matano. Hao ni makardinali wa mataifa 17 ya…