Mawaziri wanne kubanwa bungeni | Mwananchi
Dodoma. Hotuba za bajeti za Wizara ya Utumishi na Utawala bora, Mipango na uwekezaji, Muungano na Mazingira zinangojewa kutokana na kuhusisha maeneo nyeti ikiwamo ajira, uwekezaji pamoja na kilio cha kupanda kwa madaraja na malipo ya wastaafu. Kabla ya hizo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais- Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Mohamed…