‘Uvuvi wa kutumia tanga na mti, unaharibu matumbawe’

Unguja. Wakati wavuvi wadogo wakitakiwa kuachana na uvuvi haramu, kuhifadhi mazingira ya bahari, wamesema uvuaji wa kutumia tanga na mti unachangia kuathiri matumbawe chini ya bahari, hivyo kuiomba Serikali kuwapatia zana za kisasa kuimarisha uvuvi huo. Hayo yamejiri wakati wa mafunzo ya uongozi kwa Kamati za Uvuvi ya Matemwe ya Mkoa wa Kaskazini Unguja kuhusu matumizi…

Read More

‘Kauli ya viongozi wa dini ni sauti ya umma’

Dar es Salaam. Wito wa viongozi wa dini kusisitiza maridhiano kwa viongozi wa vyama vya siasa kuelekea Uchaguzi Mkuu Oktoba mwaka huu, umeibua msukumo wa makundi mbalimbali katika jamii yakisisitiza kauli ya viongozi wa dini ni sauti ya umma. Baadhi ya makundi hayo yamesisitiza yapo mambo yanapaswa kufanyiwa kazi kwani uwepo wa uchaguzi huru na…

Read More

Haya ndio matumaini wafanyakazi kuelekea Mei mosi

Unguja. Wakati tukielekea katika maadhimisho ya siku ya wafanyakazi duniani (Mei Mosi), Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Zanzibar (Zatuc) limeeleza yanayotegemewa kutoka serikalini ikiwa ni pamoja na kupata majibu ya changamoto zao walizowasilisha mwaka jana. Katika maadhimisho kama hayo mwaka jana, Shirikisho liliwasilisha changamoto 11, hata hivyo kati ya hizo tano hazijapatiwa ufumbuzi hivyo wanatarajia…

Read More

Makardinali wanaotajwa kumrithi Papa Francis

Rome, Italia. Huenda tukamshuhudia Papa wa kwanza mweusi au kutoka bara la Afrika, au huenda akachaguliwa yule Kardinali aliyewahi kusema kuwa ndoa za jinsia moja ni “pigo kwa ubinadamu”… Hawa hapa ni baadhi ya wanaotajwa kumrithi Papa Francis baada ya kufariki dunia akiwa na umri wa miaka 88. Baada ya kifo cha Baba Mtakatifu Francis…

Read More

Namungo yavunja mwiko wa dakika 270

USHINDI wa mabao 2-1 ilioupata Namungo dhidi ya Mashujaa katika mchezo wa Ligi Kuu Bara, umeifanya timu hiyo kuvunja mwiko wa dakika 270 na kushinda kwa mara ya kwanza dhidi ya wapinzani wao hao baada ya kushindwa kufanya hivyo katika mechi tatu zilizopita. Tangu Mashujaa FC ipande daraja kucheza Ligi Kuu Bara msimu wa 2022-23,…

Read More

Afariki dunia, mwingine ajeruhiwa wakiiba nyaya za umeme

Unguja. Kijana ambaye jina lake halijajulikana amefariki dunia na mwingine kupata majeraha makubwa baada ya kudaiwa kupigwa na shoti ya umeme, walipokuwa wakijaribu kuiba nyaya za umeme kwa kuzikata na msumeno. Tukio hilo limetokea saa 8:32 usiku wa kuamkia leo Aprili 21, 2025 katika kituo kidogo cha umeme Mtoni Mkoa wa Mjini Magharibi ambapo aliyejeruhiwa…

Read More

Fountain Gate V Yanga: Dakika 90 zenye hesabu tatu

UWANJA wa Tanzanite Kwaraa, uliopo mjini Babati mkoani Manyara, leo Jumatatu utaamua jambo kubwa wakati wenyeji Fountain Gate watakapowakaribisha vinara wa Ligi Kuu Bara, Yanga. Ni mchezo wa raundi ya 27, huku ukiwa ni mchezo wa 26 kwa Yanga ambayo inaongoza msimamo kwa pointi 67. Umuhimu wa mchezo huu unakuja na hesabu tatu kutokana na…

Read More

Frii-kiki zinawavuruga JKT Tanzania | Mwanaspoti

KOCHA wa JKT Tanzania, Ahmad Ally, amesema ndani ya kikosi hicho kuna tatizo kwa wachezaji wake kushindwa kuzuia mashambulizi yanayotokana na mipira ya kutengwa. Katika mechi nne zilizopita za Ligi Kuu Bara, JKT Tanzania imeruhusu mabao saba ya mipira ya kutengwa. Kutokana na hali hiyo, Ally amesema atatumia siku chache ambazo ligi imesimama kushughulikia tatizo…

Read More

Leopards nne za theluji zilizoonekana pamoja kwenye Peaks za Kaskazini za Pakistan – Maswala ya Ulimwenguni

Picha iliyochukuliwa kutoka kwa rekodi ya video na Sakhawat Ali katika Hifadhi ya Kitaifa ya Karakoram inaonyesha kikundi cha chui nne wa theluji wakipitia theluji ya kina katika safu ya mlima kaskazini ya Gilgit-Batistan, Pakistan. na Adeel Saeed (Peshawar) Jumatatu, Aprili 21, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Peshawar, Aprili 21 (IPS) – Katika mafanikio…

Read More