Fumbo wabunge 19 watakavyorudi bungeni
Dodoma. Hatima ya kurudi bungeni kwa wabunge 19 wa viti maalumu wanaotokana na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wenye mgogoro na chama chao sasa kujulikana kuanzia Juni 28, 2025. Wabunge hao akiwemo Halima Mdee wanahitimisha uhai wa Bunge hilo wakiacha historia ya aina yake hususan mvutano baina yao na Chadema. Mwaka 2020, baada ya…