Fumbo wabunge 19 watakavyorudi bungeni

Dodoma. Hatima ya kurudi bungeni kwa wabunge 19 wa viti maalumu wanaotokana na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wenye mgogoro na chama chao sasa kujulikana kuanzia Juni 28, 2025. Wabunge hao akiwemo Halima Mdee wanahitimisha uhai wa Bunge hilo wakiacha historia ya aina yake hususan mvutano baina yao na Chadema. Mwaka 2020, baada ya…

Read More

Polisi Mbeya wakamata shehena ya dawa za kulevya kutoka Malawi

Mbeya. Wakati Jeshi la Polisi mkoani Mbeya likiendelea na operesheni maalumu kupambana na kudhibiti uhalifu, limekamata shehena ya dawa za kulevya iliyodaiwa kusafirishwa kutoka nchi jirani ya Malawi kuingizwa nchini Tanzania. Shehena hiyo imekamatwa wilayani Rungwe ikiwa katika gari aina Mitsubish Canter huku mihadarati hiyo ikiwekwa ndani ya magunia ya pumba. Akizungumza leo Aprili 21,…

Read More

Mchungaji akumbusha wajibu wa wazazi katika malezi

Kibaha. Imeelezwa kuwa uwepo wa vijana waliokosa maadili mema ndani ya jamii kunasababishwa na wazazi wao  kushindwa kusimamia  malezi na makuzi bora kwa watoto. Hayo yamebainishwa leo Jumatatu Aprili 21, 2025 na mchungaji kutoka Kanisa la Anglikana Mtakatifu Gabriel Kibaha Pwani, Reymond Mwegoha kabla ya kutoa huduma ya ubatizo kwa watoto wakati wa ibada ya…

Read More

CAG abaini uhifadhi usio salama dawa za asili

Dar es Salaam. Ziara zilizofanywa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere katika maeneo ya waganga wa tiba asili (vilinge), zimebaini uhifadhi usio wa usafi wa dawa za asili, huku wataalamu wa dawa wakieleza madhara yake. Kwa mujibu wa CAG, uhifadhi wa dawa za asili haukufuata viwango vya usafi kama…

Read More

Rais Samia aomboleza kifo cha Papa Francis

Dar/Mbeya. Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameomboleza kifo cha Kiongozi wa Kanisa Katoliki Dunia, Papa Francisko aliyefariki saa 1:35 asubuhi ya Jumatatu ya Pasaka, Aprili 21, 2025. Taarifa za kifo chake zimetangazwa na Kardinali Kevin Joseph Farrell, ambaye ni Camerlengo ambapo amesema: “Kaka na dada wapendwa ni kwa huzuni kubwa kwamba sina budi kutangaza…

Read More

Mwanzo, mwisho wa Papa Francis

Dar es Salaam. Alipochaguliwa kuwa Papa Jumatano Machi 13, 2013 akiwa na umri wa miaka 76, Papa Francis alikuwa na afya njema. Madaktari walisema tishu katika mapafu zilizoondolewa akiwa mdogo hazina athari kubwa kwa afya yake. Wasiwasi pekee ungekuwa kupungua kwa uwezo wa kupumua endapo angepata maambukizi ya njia ya hewa. Papa amekuwa akisumbuliwa na…

Read More

Mtetemeko wa ardhi wa Myanmar unaongeza kwa shida ya miaka 4 ya migogoro – maswala ya ulimwengu

Mtetemeko wa ardhi wenye ukubwa wa 7.7, ambao uligonga Myanmar ya Kati, umeunda shida kubwa zaidi kwa nchi na watu ambao walikuwa tayari wanaugua migogoro na kuhamishwa. Mikopo: UNDP Myanmar/Su Sandi Htein kushinda Maoni na Titon Mitra (Naypyidaw, Myanmar) Jumatatu, Aprili 21, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Titon Mitra ni Mwakilishi wa Mkazi, UNDP…

Read More

Timu ya taifa ya Futsal kuanza na Madagascar

ALHAMISI wiki hii Timu ya Taifa ya Wanawake ya Futsal  itashuka Uwanja wa Salle Moulay Abdellah jijini Rabat, Morocco kwenye mchezo wa kwanza wa makundi dhidi ya Madagascar kuwania kufuzu fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika la Futsal kwa Wanawake mwaka huu. Mashindano hayo yaliyoandaliwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF) yatafanyika Morocco kuanzia…

Read More