Mabao 10 ya Msuva na maana yake
MABAO 10 aliyofunga mshambuliaji wa Kitanzania, Simon Msuva kwenye klabu ya Al Talaba yameifanya timu hiyo kusalia nafasi ya nne kwenye msimamo wa ligi. Hadi sasa Ligi ya Iraq zimebaki mechi tano kumaliza msimu 2024/25, chama la Mtanzania huyo likiwa nafasi ya nne kwenye mechi 27, baada ya kushinda mechi 14, sare tano na kupoteza…