*********** Asema kiu ya Serikali ni kuona mradi unatekelezwa ila maslahi ya Taifa ndiyo kipaumbele Alieleza Bunge hatua zinazochukuliwa na Serikali kuhamasisha ujenzi wa vituo
Month: April 2025

Na Mwandishi Wetu. Benki ya NMB imetunukiwa tuzo tano muhimu kutoka Wakala wa Usalama na Afya Mahala pa Kazi (OSHA) katika Maadhimisho ya Kimataifa ya

Katika kuhakikisha Watanzania wengi wanatumia huduma za bima na kufikia lengo la asilimia 50 ifikapo mwaka 2029/30, Benki ya NMB imezindua msimu wa tano wa

Dar es Salaam. Vyombo vya habari nchini vimetakiwa kuwa mstari wa mbele katika mapambano dhidi ya rushwa hususani kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa

Dar es Salaam. Katibu Idara ya Uhamasishaji na Chipukizi wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM), Jesca Mshama amewataka vijana kuchangamkia fursa ya kugombea nafasi

Tangu nifyatukie Kanada, nimekuwa nashuhudia mambo ya ajabu toka kwa mafyatu. Wapo wanaoomba mialiko ili waje huku wagome kurejea kwao na kufanya niwatunze hadi nifyatuke.

Dar es Salaam. Siku sita za ziara ya Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi mkoani Mara, zimetosha kwa chama hicho kuonyesha

Ukweli upi unapaswa kuzungumzwa? Unaompa faraja mgonjwa lakini haumsaidii kubadili hali yake? Unaomuumiza mgonjwa, ila ndiyo ukweli wenyewe? Mimi nachagua ukweli unaoweza kuonekana ukatili. Mwenyekiti

Kwenye mchezo wa ndondi bondia anaweza kufanya kama aliyejisahau, akakuletea uso usiokingwa na mikono yake. Mbinu hii wenyewe wanaiita “kuuza sura.” Ukiamini kuwa kajisahau, utaingia

Aliposhika madaraka, Rais Samia Suluhu Hassan alionyesha siyo tu nia kwa maneno, bali pia kwa matendo kwa kuchukua hatua mbalimbali zilizolenga kuliponyesha Taifa. Rais Samia