KONA YA MZAZI: Asemaye mtoto amenishinda ni mzazi mzembe

Bibi yangu aliwahi kuniambia kazi ya kumjengea mtoto maadili ni sawa na kazi ya mfinyanzi anayetengeneza vyungu bora kwa matumizi mbalimbali. Kuna wafinyanzi wanaoipa thamani kazi yao, hivyo bidhaa zao huvutia wateja. Lakini wapo pia wanaofinyanga bila uangalifu na bidhaa zao hukosa mvuto au ubora hata kwa macho yao wenyewe baada ya kuziweka sokoni. Ndivyo…

Read More

Talaka ilivyoharibu ramani ya maisha ya Shuweri

Dar es Salaam. Alizaliwa akiwaona baba na mama wakiishi pamoja. Licha ya kuwa familia yao haikuwa na uwezo mkubwa kiuchumi, walikuwa na furaha na waliishi kwa upendo. Hali iliendelea hivyo hadi alipofikisha miaka saba ambapo wazazi wake walitengana na yeye na ndugu zake wengine kubaki na mama yao. Maisha yalianza kubadilika, baba hakuwa tena sehemu…

Read More

TAJIRI WA MADINI ARUSHA AFANYIWA BALAA ZITO NYUMBANI KWAKE AKALISHWA NDANI YA ZIZI LA NG’OMBE YEYE NA FAMILIA YAKE , WANANCHI WAFURIKA NYUMBANI KWAKE , DC ATIA TIMU AONDOKA NA NG’OMBE -TAZAMA PICHA HAPA!

Na Joseph Ngilisho-MONDULI MAMIA ya wakazi wa Kijiji cha Moita Bwawani wilayani Monduli,Mkoa wa Arusha, wakiwemo viongozi wa kimila Laigwanani ,wamefurika nyumbani kwa Mfanyabiashara ,Sanare Mollel(Mullah )kwa lengo la kumpatia baraka za kimila pamoja na kuipongeza serikali kwa kufanikisha kurejeshwa eneo la malisho lililokuwa limeuzwa kinyemela na viongozi wa kijiji hicho wasiokuwa waadilifu. Sherehe hizo…

Read More

Umejiuliza ulionao ni watoto au mitoto?

“Wenzangu nyie mnafanyaje watoto wawasikilize?” analalamika mama Rehema. “Hata sijui nilimkosea nini Mungu! Hii niliyonayo ni mitoto.” Kama mtu asiyeamini anaulizwa swali la kijinga ananijibu: “Haina akli, mijinga, mitundu, mikorofi, pasua kichwa kazi kunitia hasara tu,” anasema kwa hasira. Kanisimulia juzi kwenye mtihani wa nusu muhula mwanae mkubwa kawa wa 38 kati ya watoto 40…

Read More

Wanandoa kuweni kama maji na samaki, mfaidi

 Je, unakijua kisa cha samaki na maji? Viumbe wote walipoumbwa, walichagua sehemu za kuishi.  Wapo waliokwenda mwituni. Wapo waliochagua kufanya kazi usiku na kupumzika mchana. Samaki alichagua maji na maji yalimchagua yeye.  Siku moja, samaki alivuliwa akayaambia maji: “Mpenzi wangu buriani maana, hatutaonana tena.” Maji nayo yalijibu: “Mpenzi huna haja ya kuniaga maana, nitakuwa nawe…

Read More

Askofu Sangu: Ufisadi, dhuluma ni matendo ya giza

Shinyanga. Askofu wa Jimbo Katoliki la Shinyanga, Liberatus Sangu amewataka waumini wa dini ya Kikristo kusherehekea Pasaka kwa matendo yenye nuru sio giza ili waweze kufufuka na Yesu Kristo. Akizungumza kwenye misa ya mkesha wa Pasaka jana Jumamosi, Aprili 19, 2025  iliyofanyika Parokia ya Mama Mwenye Huruma iliyopo Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga amesema: “Kifo…

Read More

Umuhimu wa kumfunza mwanao usimamizi wa fedha

Katika ulimwengu wa sasa wa mabadiliko ya haraka ya kiuchumi na kijamii, mafunzo ya usimamizi wa fedha kwa watoto yamekuwa jambo la msingi sana linalohitaji kupewa kipaumbele na wazazi, walimu pamoja na jamii kwa ujumla. Hii ni kwa sababu watoto wa leo ndio viongozi wa kesho, na ili waweze kufanya uamuzi wa kifedha kwa ufanisi,…

Read More

MAHUBIRI: Kufufuka Yesu ndio msingi wa imani ya Kikristo

Bwana Yesu asifiwe! Leo tukiwa tunaadhimisha Sikukuu ya Pasaka inayomaanisha kufufuka kwa Bwana Yesu kutoka kaburini, natamani uyafahamu mambo ya msingi kuhusiana na ufufuko huu ili kumwezesha kila mmoja kufaidika na uhalisia wa tukio hili. Ukristo umezaliwa kupitia Bwana wetu Yesu Kristo, ambaye ni mwanzilishi pekee wa imani ambaye alikufa na hakubaki kaburini, maana alifufuka…

Read More