Hizi ndizo sifa wanazotaka wanaume kwa wanawake

Katika uhusiano wa mapenzi, kuna sifa zinazomfanya mwanamke awe wa kipekee na kuvutia mwanaume. Ingawa kila mwanaume ana vigezo vyake, kuna tabia za kimsingi ambazo kwa ujumla huongeza mvuto wa mwanamke na kuimarisha uhusiano wake na mpenzi wake. Tuone baadhi ya sifa hizo. Mwanaume huvutiwa na mwanamke anayetoa mazingira ya utulivu na amani. Mwanamke asiye…

Read More

‘Wakristo ishini kama mlivyoishi kipindi cha Kwaresma’

Dar es Salaam. Askofu wa Jimbo Katoliki teule la Bagamoyo, Stephano Musomba amesema kila muamini anapaswa kuwa mmishionari katika kutangaza mema na ukuu wa Mungu. Sambamba na hilo, amesisitiza kutoacha aina ya maisha Wakristo Wakatoliki waliyaishi katika kipindi chote cha mfungo wa Kwaresma. Amesema hayo wakati akihubiri katika ibada ya mkesha wa Sikukuu ya Pasaka…

Read More

Simba v Stellenbosch hatari ipo hapa

UNAKUMBUKA mwaka 1993 wakati Simba inacheza fainali ya Kombe la CAF ambalo baadaye 2004 likaunganishwa na Kombe la Washindi kisha kuzaliwa Kombe la Shirikisho Afrika? Basi kwa kukukumbusha tu ni kwamba kabla ya mechi ya nusu fainali dhidi ya Atlético Sport Aviação, hali ilikuwa kama hivi ambavyo Jumapili hii Simba wanakwenda kucheza dhidi ya Stellenbosch….

Read More

Anthony Komu arejea Chadema, Heche amtambulisha rasmi

Dar es Salaam. Aliyekuwa Mbunge wa Moshi Vijijini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Anthony Komu, amerejea kwenye chama hicho baada ya kuhamia NCCR-Mageuzi. Itakumbukwa kuwa Komu alikuwa miongoni mwa makada wa Chadema walioingia kwenye mzozo, na kusababisha ahojiwe kabla ya kujiondoa. Komu ametambulishwa leo, Aprili 19, 2025, na Makamu Mwenyekiti wa Chadema-Bara, John…

Read More

Pasaka kavu kwa wafanyabiashara | Mwananchi

Dar es Salaam. Ikiwa zimesalia saa chache kabla ya Wakristo wa Tanzania kuungana na mataifa mengine kusherehekea Sikukuu ya Pasaka, wafanyabiashara walalalimia kukosa wateja. Sikukuu hii ya kusherehekea kufufuka kwa Yesu Kristo  hufanyika baada ya kumalizika kipindi cha majuma sita ya Kwaresma.Kufuatia sikukuu hiyo ya Pasaka watu hufanya maandalizi ya kusherekea siku hiyo kwa kununua…

Read More

MALIASILI SC YAIHUKUMU MAHAKAMA 28–18

********** Na Sixmund Begashe Timu ya Mpira wa Pete ya Wanawake ya Wizara ya Maliasili na Utalii imeifunga vikali Timu ya Wanawake ya Mahakama kwa mabao 28 kwa 18 katika mchezo uliochezwa leo kwenye uwanja wa michezo wa VETA, mkoani Singida. Akizungumza mara baada ya mchezo huo uliovutia mashabiki wengi, Bi. Getrude Kassara, Mratibu wa…

Read More