Mahakama yajitenga kujadili uhalali ndoa ya Mrema, Doris

Dar es Salaam. Mahakama ya Rufani, imekataa kujadili uhalali wa ndoa kati ya aliyekuwa mwanasiasa mkongwe nchini, Augustino Mrema na Doris Mkandala kwa kuwa suala hilo halikuwahi kutolewa maamuzi na Mahakama Kuu. Jopo la majaji watatu wa mahakama ya Rufani, Lugano Mwandambo, Abraham Mwampashi na Dk Eliezer Feleshi, limekosoa hukumu ya Mahakama Kuu iliyoenda mbali…

Read More

Mwenyekiti wa Bawacha Siha afariki dunia, Chadema wamlilia

Siha. Mwenyekiti wa Baraza la wanawake wa Chadema (Bawacha) Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro, Elizabeth Mollel amefariki dunia wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Ocean Road, iliyopo Jijini Dar es salaam. Akithibitisha kutokea kwa kifo hicho, Mwenyekiti wa Chadema Wilaya ya Siha, Imma Saro amesema kiongozi huyo amefariki alasiri Aprili 18, 2025 wakati akipatiwa matibabu…

Read More

Fadlu aitega Stellenbosch, atoa ombi Simba

Zanzibar. Ikiwa imebaki siku moja kabla ya mechi baina ya Simba na Stellenbosch ya Afrika Kusini utakaochezwa katika Uwanja wa Amaan Complex, Zanzibar, Kocha wa Simba, Fadlu David amesema wamejipanga vizuri katika kuukabili mchezo huo. Akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari leo, Jumamosi, Aprili 19, 2025, Fadlu amesema timu zote ambazo zimefika nusu fainali…

Read More

CAG Kichere afukua ‘uozo’ vyama vya siasa

Dar es Salaam. Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) imeibua madudu katika vyama vya siasa kwa kueleza kuwa baadhi ya vyama hivyo mali zake zimesajiliwa kwa majina binafsi, huku vingine vikiwa na dosari katika ukusanyaji wa mapato yake. Pia, ripoti ya ukaguzi wa Serikali Kuu iliyotolewa na CAG, Charles Kichere,…

Read More

Saba wafariki dunia ajali ya ambulance na toyo

Mafinga. Watu saba wamefariki dunia na wengine 15 kujeruhiwa katika ajali ya gari la kubeba wagonjwa (ambulance) kugongana na toyo katika eneo la Luganga, lililopo katika Halmashauri ya Mji Mafinga, Wilaya ya Mufindi, mkoani Iringa. Akizungumza baada ya kutembelea majeruhi wa ajali hiyo leo Jumamosi, Aprili 19, 2025, Mkuu wa Wilaya ya Mufindi, Dk Linda…

Read More

Mradi wa Chuma Liganga ulivyo pasua kichwa

Moshi. Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), ameonyesha masikitiko yake kutokana na kutoanza kwa mradi wa Chuma Liganga, licha ya fidia kubwa kulipwa kwa watu walioathirika na mradi huo. Wakati ripoti hiyo ya CAG ya mwaka wa fedha 2023/2024 ikieleza hayo, Februari 18, 2025, Waziri wa Viwanda na Biashara, Dk Selemani Jafo…

Read More