Watumishi Bodi ya Mfuko wa Barabara watakiwa kuzingatia miongozo ya uandishi wa nyaraka
Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu Wizara ya Ujenzi Mrisho Mrisho, akifunga kikao kazi cha ndani cha Bodi ya Mfuko wa Barabara kilichofanyika kwa siku tatu mkoani Morogoro. ************* Watumishi wa Bodi ya Mfuko wa Barabara wametakiwa kuzingatia miongozo ya uandishi wa nyaraka mbalimbali za kiserikali ili kuboresha ubora na ufanisi wa mawasiliano ya kimaandishi…