Ujenzi daraja Jangwani kuanza rasmi Mei
Dar es Salaam. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema ujenzi wa daraja la Jangwani litakalokuwa na urefu wa mita 390 unatarajiwa kuanza rasmi mwezi ujao. Ujenzi wa daraja la Jangwani utagharimu Sh97.1bilioni, ukikamilika utaondoa adha ya kukatika kwa mawasiliano ya kuingia katika jiji la Dar es Salaam, utahusisha pia barabara za…