Jumamosi iliyopita tulisherehekea miaka 61 ya Muungano wetu huu adhimu na wa kipekee. Kwa hakika, Muungano wetu umeimarika, umepevuka, na umekomaa kiasi kwamba sasa tuko
Month: April 2025

Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Mhe. Shaka Hamdu Shaka, ametoa wito kwa wazazi, walimu, na watendaji wa kata kushirikiana kwa karibu katika kuhakikisha wanafunzi wanapata

Unguja. Aprili 21, mwaka huu Zanzibar ilimpoteza mwanasiasa mkongwe na machachari, Muhammad Ibrahim Sanya, ambaye alifariki dunia wakati akiendelea na matibabu katika Hospitali ya Lumumba,

Kila anapozungumza iwe na wananchi sehemu mbalimbali, mikutano, semina, misikitini au akiwa na mabalozi wa nchi za nje, Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi hutoa

Jenerali wa chini wa Secretary-Jenerali Rosemary DiCarlo aliwahutubia mabalozi pamoja na mkuu wa Msaada wa UN, Joyce Msuya, ambaye alisasisha hali mbaya ya kibinadamu nchini

:::::::: OR-TAMISEMI Mkurugenzi wa Idara ya Afya Lishe na Ustawi wa Jamii, Ofisi ya Rais TAMISEMI, Dkt. Rashid Mfaume ameuelekeza uongozi wa kituo cha afya

Mwenyekiti wa Bodi ya TASAC Nah.Mussa Mandia akizungumza na wananchi wa Mwalo wa Luhita wakati Bodi hiyo ilipofanya ziara katika Mwalohuo hawapo pichani. Na Mwandishi

“Asubuhi hii, alizungumza kando kwa simu na Muhammad Shebaz Sharif, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Pakistan, na pia alizungumza mapema siku hiyo na

YANGA inafanya mambo yake ya usajili kimyakimya kwa ajili ya msimu ujao, hiyo ni baada ya kujihakikishia mapema tiketi ya kucheza Ligi ya Mabingwa Afrika

MIAKA mitatu iliyopita, Fadlu Davids alipitia moja ya siku zenye maumivu kwenye taaluma yake ya ukocha. Mei 20, 2022, akiwa msaidizi wa Mandla Ncikazi katika