Muda unatosha mabadiliko madogo ni utashi tu wa kisiasa!

Jumamosi iliyopita tulisherehekea miaka 61 ya Muungano wetu huu adhimu na wa kipekee. Kwa hakika, Muungano wetu umeimarika, umepevuka, na umekomaa kiasi kwamba sasa tuko tayari kuchukua hatua ya pili ya kuudumisha kwa kuungana kuwa na serikali moja, nchi moja, chini ya Rais mmoja wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hili Rais Samia Suluhu Hassan…

Read More

DC SHAKA ATAKA WANAFUNZI KILOSA KUPATA CHAKULA SHULENI.

Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Mhe. Shaka Hamdu Shaka, ametoa wito kwa wazazi, walimu, na watendaji wa kata kushirikiana kwa karibu katika kuhakikisha wanafunzi wanapata chakula cha mchana shuleni. Amesisitiza kuwa lishe bora ni msingi wa maendeleo ya elimu na afya kwa watoto, hivyo ni jukumu la kila mmoja katika jamii kuhakikisha suala hilo linapewa…

Read More

Sanya hatasahaulika kwa mambo haya

Unguja. Aprili 21, mwaka huu Zanzibar ilimpoteza mwanasiasa mkongwe na machachari, Muhammad Ibrahim Sanya, ambaye alifariki dunia wakati akiendelea na matibabu katika Hospitali ya Lumumba, Unguja. Sanya anatajwa kuwa machachari katika siasa za Zanzibar na alikuwa miongoni mwa wabunge waliopata fursa hiyo mapema mwanzoni mwa siasa za vyama vingi mwaka 1995. Sanya amekuwa mbunge wa…

Read More

Wito wa amani budi uambatane na haki

Kila anapozungumza iwe na wananchi sehemu mbalimbali, mikutano, semina, misikitini au akiwa na mabalozi wa nchi za nje, Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi hutoa tamko la kuhakikisha uchaguzi ujao utakuwa wa amani, huru na wa haki. Hii ni kauli inayotoa matumaini mema wakati huu ambapo joto la uchaguzi linapanda, huku kukiwa na mashaka ya…

Read More

Kukomesha hatua muhimu ya kwanza kwenye barabara ya amani ya kudumu – maswala ya ulimwengu

Jenerali wa chini wa Secretary-Jenerali Rosemary DiCarlo aliwahutubia mabalozi pamoja na mkuu wa Msaada wa UN, Joyce Msuya, ambaye alisasisha hali mbaya ya kibinadamu nchini huku kukiwa na mashambulio yanayoendelea ya Urusi. Bi Dicarlo alisema mkutano huo ulifanyika katika eneo linalowezekana la uchochezi katika vita vya miaka tatu, kwani wiki chache zilizopita zimeona diplomasia ya…

Read More

Guterres juu ya Mvutano wa India-Pakistan, Sasisho la Kongo Mashariki, hali ya hewa huongeza kwa nzige barani Afrika-Maswala ya Ulimwenguni

“Asubuhi hii, alizungumza kando kwa simu na Muhammad Shebaz Sharif, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Pakistan, na pia alizungumza mapema siku hiyo na Subrahmanyam Jaishankar, Waziri wa Mambo ya nje ya Jamhuri ya India,” alisema waandishi wa habari wa UN. Wakati wa wito mkuu wa UN alisisitiza hukumu yake kali ya shambulio la…

Read More

Mzimu wa RS Berkane bado mtihani kwa Fadlu

MIAKA mitatu iliyopita, Fadlu Davids alipitia moja ya siku zenye maumivu kwenye taaluma yake ya ukocha. Mei 20, 2022, akiwa msaidizi wa Mandla Ncikazi katika kikosi cha Orlando Pirates, aliishuhudia ndoto ya ubingwa wa Kombe la Shirikisho Afrika ikiyeyuka. Ni baada ya kupoteza kwa mikwaju ya penalti 5-4 dhidi ya RS Berkane kwenye fainali iliyopigwa…

Read More