Mtoto, baba wa kambo walivyokwepa kitanzi kesi ya mauaji
Arusha. Mahakama Kuu Masijala Ndogo ya Dar es Salaam imewaachia huru Halima Shabani na baba yake wa kambo, Mbalu Sambalu, waliokuwa wameshtakiwa kwa mauaji ya baba yake Halima, Shabani Rashid. Halima na baba yake wa kambo walishtakiwa kwa kosa la mauaji kinyume na kifungu cha 196 na 197 cha Kanuni ya Adhabu, ambapo ilikuwa inadaiwa…