Sababu kukosa morali ya kazi Ijumaa, Jumatatu

Dar es Salaam. Umewahi kuhisi kukosa morali ya kazi inapokaribia mwishoni mwa juma au Jumatatu inayojulikana kwa wengine kama ‘Monday Blues’? Hali hii huwatokea watumishi wengi, mtu hujihisi uzito, kutojali au kukosa hamasa ya kufanya kazi Jumatatu au hata siku za Alhamisi na Ijumaa. Zipo sababu nyingi za hali hii kutokea, baadhi zikitajwa kuwa ni…

Read More

Mambo matatu yanayomsukuma Othman kujitosa urais Zanzibar

Unguja. Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Othman Masoud Othman, ambaye ametia nia ya kugombea urais kupitia chama chake, amesema akipewa ridhaa atashughulikia mambo matatu mahsusi ili kuwasaidia Wazanzibar, ikiwemo kuwaunganisha. Othman amebainisha hayo katika mahojiano maalumu na Mwananchi, yaliyofanyika nyumbani kwake Unguja, Zanzibar. Amesema miongoni mwa mambo hayo ni kuguswa na maisha ya…

Read More

Askofu Bagonza: Demokrasia iwe fursa ya kufufua matumaini ya haki

Dar es Salaam. Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Karagwe, Dk Benson Bagonza amewataka Watanzania kuhakikisha mwaka 2025, wanatumia fursa za kidemokrasia kufufua matumaini ya kujenga nchi ya haki na kutetea wanyonge. Fursa ya kidemokrasia inayozungumziwa na Askofu Bagonza katika mwaka 2025 ni Uchaguzi Mkuu, unaotarajiwa kufanyika Oktoba, ukihusisha kupatikana…

Read More

Zoezi la Uhakiki Malipo ya Mbolea za Ruzuku kwa Wakulima wa Tumbaku Tabora larizisha

…………   Tabora,  Katika kuhakikisha wakulima wa tumbaku wanapata ruzuku za mbolea Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA), Bw. Joel Laurent, amefanya ziara ya kikazi katika vituo viwili vinavyo hakiki taarifa hizo mkoani Tabora kujionea maendeleo ya zoezi hilo na kuhakikisha linakamilika kwa wakati. Baada ya kutembelea vituo hivyo katika ofisi…

Read More

Ripoti ya CAG yafichua mpya Tanzania kukabiliana na maafa

Dar es Salaam. Halmashauri nchini Tanzania hazijajipanga kukabiliana na maafa, hususan mafuriko, kutokana na kutotenga bajeti maalumu kwa ajili ya shughuli hizo muhimu. Hayo yamebainishwa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere, katika ripoti yake aliyoangazia utekelezaji wa ukaguzi kuhusu usimamizi wa mafuriko, iliyofanywa kwenye halmashauri sita kwa miaka ya…

Read More

CAG abaini utata wa uendeshaji wa uwanja wa KIA

Moshi. Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), amebaini uwepo wa utata katika uendeshaji wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA), akitaka Serikali na mamlaka husika zitafute suluhisho la kudumu la utata huo. Hayo yamo katika Ripoti Kuu ya Mwaka ya Ukaguzi wa Mashirika ya Umma kwa mwaka wa fedha 2023/2024…

Read More