WASIRA:CCM TUNAHUBIRI AMANI KWASABABU NDANI YAKE KUNA HAKI
*Asisitiza hawawezi kukubali mtu au kikundi cha watu kuvuruga amani iliyopo Na Said Mwishehe,Tabora MAKAMU Menyekiti wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Tanzania Bara Stephen Wasira amesema kuwa ni vema wananchi wakafahamu kwamba katika amani ndani yake kuna haki ,hivyo wanahubiri amani kwasababu ndani ya amani inapatikana haki. Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika Mjini Dodoma alipokuwa…