CHANGAMOTO YA UPUNGUFU WA WATUMISHI KUTATULIWA ,SIMBACHAWENE
……………………… NA Ester Maile…Dodoma Serikali kupitia Ofisi ya Rais menejimenti ya utumishi wa umma na utawala bora imetafuta namna bora ya kuondoa changamoto ya upungufu wa watumishi katika maeneo mengi . Hayo yameelezwa leo 17,march 2025 na Waziri wa Nchi ,ofisi ya rais menejimenti ya utumishi wa umma na utawala bora George Simbachawene wakati akizungumza…