Alhamisi ya Kujiokotea Mkwanja Hii Hapa

BAADA ya kushuhudia mitanange ya ligi ya mabingwa Ulaya, hatimaye ni zamu ya Europa League na Conference ambapo mechi kali zipo uwanjani leo kusaka tiketi ya kufuzu Nusu Fainali leo. Je nani kukupatia mkwanja leo?. Tukianza na Europa, leo hii Manchester United watakuwa Old Trafford kukipiga dhidi ya Olympique Lyon ambapo mchezo wa kwanza walitoa…

Read More

DKT.KIMEI AWEKA REKODI YA UTENDAJI VUNJO

Na Mwandishi Wetu,Dodomaa MBUNGE wa Jimbo la Vunjo Dkt Charles Kimei ametajwa kuwa kinara wa kuzungumzia mahitaji ya wananchi kwa kuwa miongoni mwa wabunge vinara wa kusema, kuchangia au kuhoji katika kila kikao cha bunge la 12 linalotarajiwa kuvunjwa mwishoni mwa mwezi Juni mwaka huu. Kwa mujibu wa tovuti ya Bunge la Tanzania inaonyesha Dk.Kimei…

Read More

Simbachawene: Madai ya Chadema hayatekelezeki

Dodoma. Wakati Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kikiendelea kutangaza ajenda yake ya ‘No Refomrs, No Election’, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene amesema madai ya chama hicho  kutaka katiba mpya kabla ya uchaguzi mkuu wa mwaka huu, hayatekelezeki kwa kipindi kilichobaki kuelekea Oktoba mwaka…

Read More

Mwalimu auawa akidhaniwa mwizi | Mwananchi

Mbeya. Fredrick Nyambo (40), Mwalimu wa Shule ya Sekondari Hayombo katika Halmashauri ya Jiji la Mbeya, amefariki dunia baada ya kushambuliwa na watu wasiojulikana waliomdhania kuwa ni mwizi. Tukio hilo lilitokea usiku wa kuamkia Aprili 15, 2025, katika Mtaa wa Mwanyanje, Kata ya Igawilo, ambako marehemu alikuwa akiishi. Akizungumza na Mwananchi leo, Alhamisi Aprili 17,…

Read More